Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakubwa Shikamooni...
Kwa takribani wiki sasa kumekuwa na mada mbalimbali ambazo zimekuwa zikiwekwa humu kwa kuanisha jinsi gani Wadau humu wanavyoloweka na walivyo wakwale kwenye sekta nzima Ngono zembe.
Nimekaa nimetafakari nikajiuliza hivi mleta Mada lengo lake nini? Ni kuaminisha Umma kuwa hum Jamvini kuna wakwale wengi ambao wao ngono kwao wanafanya bila kutumia kinga kuliko mahala pengine popote pakiwemo makazini, makanisani, misikitini, au kweye mikusanyiko mbalimbali kama vile Mwenge, Maadhimisho ya Shughuli na dhifa mbalimbali, Umitashumita, Shimiwi na kwenye misafara ya kwenda kuangalia hifadhi za jamii au hata kwenye magroup ya Whatsap?
Je, ni kweli waliomo Jamvini ikichukuliwa sampoli ya kutosha karibia asilimia kubwa itakutwa imeathirika au?
J ni kweli Mbona mnanichanganya? Mimi nina bahati sijawahi kuwa na uhusiano na Mwanajamvi yeyote na nipo salama kabisa kwenye ambukizo la tokeo lolote la Ngono Zembe.
Polne wahanga na badirikeni
Kwa takribani wiki sasa kumekuwa na mada mbalimbali ambazo zimekuwa zikiwekwa humu kwa kuanisha jinsi gani Wadau humu wanavyoloweka na walivyo wakwale kwenye sekta nzima Ngono zembe.
Nimekaa nimetafakari nikajiuliza hivi mleta Mada lengo lake nini? Ni kuaminisha Umma kuwa hum Jamvini kuna wakwale wengi ambao wao ngono kwao wanafanya bila kutumia kinga kuliko mahala pengine popote pakiwemo makazini, makanisani, misikitini, au kweye mikusanyiko mbalimbali kama vile Mwenge, Maadhimisho ya Shughuli na dhifa mbalimbali, Umitashumita, Shimiwi na kwenye misafara ya kwenda kuangalia hifadhi za jamii au hata kwenye magroup ya Whatsap?
Je, ni kweli waliomo Jamvini ikichukuliwa sampoli ya kutosha karibia asilimia kubwa itakutwa imeathirika au?
J ni kweli Mbona mnanichanganya? Mimi nina bahati sijawahi kuwa na uhusiano na Mwanajamvi yeyote na nipo salama kabisa kwenye ambukizo la tokeo lolote la Ngono Zembe.
Polne wahanga na badirikeni