mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,760
Hii ni kweli na mimi imenitokea ni muhanga wa hilo.Mkuu vp kuhusu Stori za jini mahaba..au story za mtu hawezi kuoa au kutolewa kisa amefunga ndoa ya kiroho na jini
Kila nikioa ndoa zinavunjika,nikimpa demu ujauzito unaharibika miaka inaenda tu.
Mwanzoni sikujua tatizo ila baadae wakaanza kujitokeza kunipa ishara ndotoni