TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,749
- 21,199
Wakati wa uzinduzi wa kitabu cha maisha ya mstaafu mzee Ally Hassan Mwinyi mambo mengi yamesemwa na hata baadaye kuonekana issue hii kuibukia kwa Simba na Yanga.
Twende kwenye hoja.
Wazee wa Dar waliofika kumsikiliza mama kama walikuwa 1000 basi kwa bei ya gari linalotakiwa anunuliwe mstaafu Rais Mwinyi kila mzee angeweza kurudi na tshs 250,000 nyumbani lakini akasema hana hata elfu 30!.
Mfano angalia prices ya hii benz,
Twende kwenye hoja.
Wazee wa Dar waliofika kumsikiliza mama kama walikuwa 1000 basi kwa bei ya gari linalotakiwa anunuliwe mstaafu Rais Mwinyi kila mzee angeweza kurudi na tshs 250,000 nyumbani lakini akasema hana hata elfu 30!.
Mfano angalia prices ya hii benz,