Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Acha kabisa alafu mimi nahisi maumivu nikikohoa naambiwa nina hasidi nyingi nakipindi iki nilikuwa nakunywa maji yenye limao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ukitumia malimao yana sababisha vidonda vya tumbo hata hayo matunda mengine kama matamu

Wewe matunda yako mazuri ni parachichi achana kabisa na swala malimao machugwa na mavitu yenye acidi nyingi

Kunywa maji ya moto
Na maziwa ya mtindi tu yatalinda afya yako
Mboga zamajani basi .
Na sio otherwise

Vitu vya vitamin C vina acid sana sana

Kwa ulinzi wa Corona kinuwa maziwa ya mtindi tu Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mafuta ya Mamba sio Dawa ya kutibu Maradhi ya Vidonda vya Tumbo Jaribu kutumia Urine (Mkojo) wako mwenyewe kila siku ukinge Asubuhi Glasi moja unywe kabla ya kula kitu kwa muda wa siku 10 kisha uende kupima utakuta vidonda vyote vya Tumbo vimekauka na hiyo wamejaribu watu wengi imewasaidia ukiweza fanya hukuweza Achana nao itawasaidia wengine wenye huo ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo asante sana.
Nishajaribu hii haikua na msaada

CCM OYEE!MISIMAMO DAIMA
 
Habari wana Jamvi, naombeni msaada nini cha kufanya pale vidonda vya tumbo (ulcers) vinapo kuuma? Na ipi ni dawa ya kuvimaliza kabisa?
 
sikiliza mimi nimeumwa vidonda vya tumbo 4 yrs, lakini huwezi amini dawa yake ni ukwaju, kuna namna ya kuandaa, inaitaji maelekezo kidogo siwezi sema yote hapa ni process, nulipona kwa hivyo na maharage natafuna kama kawa!
Fafanua kidogo mkuu ukwaju huo unatumikaje?

Vidonda vyako vilisababishwa na nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu ni ulcers hizo. Nami zimenitesa miaka 6 nilikua nasikia hivyo shauri ya vidonda vya tumbo. Kama unaweza nipatie namba yako PM utapona kabisa 100% kuna mama anatibu kienyeji maeneo ya Goba. Kama upo Dar.

Vidonda vibaya sana. Nilikua short tempered, kujamba sasa, tumbo linawaka moto sio kawaida, maumivu ya shingo na mgongo, kusahau isivyo kawaida na wakati nilikua mwepesi wa kumbukumbu. Yaani trust me utapona kabisa. Mimi pia nilifanya endoscopy pale Regency, na nikatumia dawa za hospital bila kupona kabisa.
mkuu huyo mama nipatie namba yake pls
 
Back
Top Bottom