Ability product
Member
- Jun 24, 2017
- 9
- 3
0719680686Nichek inbox nikupe dawa utakunywa kama mara 4 hivi utapona kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
0719680686Nichek inbox nikupe dawa utakunywa kama mara 4 hivi utapona kabisa
Ni kweli ukitumia malimao yana sababisha vidonda vya tumbo hata hayo matunda mengine kama matamuAcha kabisa alafu mimi nahisi maumivu nikikohoa naambiwa nina hasidi nyingi nakipindi iki nilikuwa nakunywa maji yenye limao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishajaribu hii haikua na msaadamafuta ya Mamba sio Dawa ya kutibu Maradhi ya Vidonda vya Tumbo Jaribu kutumia Urine (Mkojo) wako mwenyewe kila siku ukinge Asubuhi Glasi moja unywe kabla ya kula kitu kwa muda wa siku 10 kisha uende kupima utakuta vidonda vyote vya Tumbo vimekauka na hiyo wamejaribu watu wengi imewasaidia ukiweza fanya hukuweza Achana nao itawasaidia wengine wenye huo ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo asante sana.
1: lazima ujue kinachosababish hivyo vidonda ni nini either ni bacteria or acid tumboni
ukishajua kinachosababisha ndio utaanza kutibu either kwa kuuwa hao bacteria au kubadili mfumo wa ulaji ili kusaidia kuponyesha hivyo vidonda
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninayo dawa ambayo ninakutibu kwa wiki moja tu unapona kabisa ila bei iko juu kidogo
"corona ipo tuchukue tahadhari"
Nisadie na hiyo Dawa. Au naipata wapi?Kuna dawa ya asili nilitumia nikapona kabisa..nicheki 0689 209 209
Sent using Jamii Forums mobile app
Fafanua kidogo mkuu ukwaju huo unatumikaje?sikiliza mimi nimeumwa vidonda vya tumbo 4 yrs, lakini huwezi amini dawa yake ni ukwaju, kuna namna ya kuandaa, inaitaji maelekezo kidogo siwezi sema yote hapa ni process, nulipona kwa hivyo na maharage natafuna kama kawa!
mkuu huyo mama nipatie namba yake plsPole sana mkuu ni ulcers hizo. Nami zimenitesa miaka 6 nilikua nasikia hivyo shauri ya vidonda vya tumbo. Kama unaweza nipatie namba yako PM utapona kabisa 100% kuna mama anatibu kienyeji maeneo ya Goba. Kama upo Dar.
Vidonda vibaya sana. Nilikua short tempered, kujamba sasa, tumbo linawaka moto sio kawaida, maumivu ya shingo na mgongo, kusahau isivyo kawaida na wakati nilikua mwepesi wa kumbukumbu. Yaani trust me utapona kabisa. Mimi pia nilifanya endoscopy pale Regency, na nikatumia dawa za hospital bila kupona kabisa.