Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea ivi inakuwaje unamkuta mzee anafanya kazi nzuli ana uwezo mkubwa wa kifedha lakini unakuta familia yake hapo nyumbani wanaishi maisha ya shida.
Nazagumza ivyo kutokana na mzee mmoja hapa yupo vizuli kimaisha lakini watoto wake wanaishi maisha ya kusikitisha yaani unashangaa sometime mshikaji anakupiga kibomu cha vicha ya jero amekwama lakini unashanga baba yao ana uwezo lakini wapi .
Ni kwanini inatokea hali kama hiyoo katika maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nazagumza ivyo kutokana na mzee mmoja hapa yupo vizuli kimaisha lakini watoto wake wanaishi maisha ya kusikitisha yaani unashangaa sometime mshikaji anakupiga kibomu cha vicha ya jero amekwama lakini unashanga baba yao ana uwezo lakini wapi .
Ni kwanini inatokea hali kama hiyoo katika maisha
Sent using Jamii Forums mobile app