Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndg.Humphrey polepole yupo mubashara CHANNEL 10 akielezea mada ya SAKATA LA MAKINIKIA
Wazee wa kupinga kila kituIrrelevancy. Hanna Jipya hapo.
Umetumia kipimo gani cha kujiona wewe ni mwerevu?Sikilizeni upumbavu wenu peke yenu sisi werevu tunalala, usiku mwema..!
Katumia kipimo cha bavicha!Umetumia kipimo gani cha kujiona wewe ni mwerevu?
Nawa miguu kabla hujapanda kitandani. Hayo makanikia (vumbi) uliyokusanya Kariakoo siku nzima hayatakuacha salama na ndoto za kumuota Mshana JR anakufuata mwende Coco beach saa tisa usiku.Sikilizeni upumbavu wenu peke yenu sisi werevu tunalala, usiku mwema..!
Taifa gani?Hazina kwa Chama na Taifa
Kwako peke yako na ukoo wako lakini kwa watanzania wengi wanamuona pole pole ni Limbukeni mshamba fulani hvPolepole yupo vzr sana, hata mashinji hamfikii polepole
Jamaa ni smart sana