Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,913
Baada ya walevi kuamua kuwa na uzi wao maalum sasa ni nafasi muafaka kabisa kwa wale wasio tumia vilevi, isipokua vinywaji laini laini tu kama maji, juice, chai na hata bila kuwatenga wale wanaotumia wine tu.
Karibuni jamani, tupeane kampani hapa.
Karibuni jamani, tupeane kampani hapa.