Kirokonya
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 2,280
- 7,535
Inakera sana hiyo. Halafu wanajikaribisha wenyewe!Kuna baa furani ukienda kula kitimoto lazima mchangie na mabaamedi
Inakera sana hiyo. Halafu wanajikaribisha wenyewe!Kuna baa furani ukienda kula kitimoto lazima mchangie na mabaamedi
Mambo hayooo Mkurugenzi.
Dont judge people loving alcohol. If your happiness is in porridge, focus on that
Kuna muda huwa nawaza na kujiuliza ila sijawaigi pataga majibu.....
Kwa heshima kubwa. Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno.
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo. Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi. Zile za ofa na hata za kwenye sherehe.
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza.
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE!
Sio dhambi kabisa nakuambiaKuna muda huwa nawaza na kujiuliza ila sijawaigi pataga majibu.....
Ivi sisi tunao kunywaga pombe na hatupotezi Utaratibu Hivi Huwa hatuna dhambi.....Je kunywa pombe ni dhambi?
Binafsi mimi naamin kunywa pombe sio dhambi........
*****Naaagiza nusu halafu namwambia mpishi aikaange na pilipili ya kutosha sana
Kesho nitakujoin....nipe ratiba kamiliMawasiliano park Ndo kijiwe changu
Hahaha pole na hongera mdau kwa kusalimikaDaaaaaaah haya mapomb3 bwana
Wseee wadau mpaka sasa niko ndani ya chumba ila nyumba na mtaa wala eneo sipajui
Cha kushangaza niko uchi, na mwanamke lakini mpka sasa kila nikivuta kumbukumbu sikumbuki nilimuona wapi.
Nimejaribu kugusa mlango umefungwa na funguo sizioni
Nimetafuta viashiria vya uwepo wa mwanaume kwa huyu mwanamke sioni hata malapa wala boksa.
Habari njema tuu nimeiona nusu ya k-vanga kwenye meza yake. Inabidi nilifakamie sasa hivi kabla hajaamka asije nikuta niko mzima aseee.
Kwa kweli kwa vitendi vya kudharirishwa nimesalimikaHahaha pole na hongera mdau kwa kusalimika