Za wasumbwa hizi au??Mshana Jr Bora hizi gongo za viwandani za 2000 au Bora hizi local za wazee
Hii ni
kangara na sio mbege
View attachment 1762273View attachment 1762274
WanyaturuZa wasumbwa hizi au??
Doh ...noma...Kuna sehemu nilizikuta ni hatari🙌🏿🙌🏿Wanyaturu
Kanda ya Kati auDoh ...noma...Kuna sehemu nilizikuta ni hatari
Kanda ya ziwa mkuuKanda ya Kati au
Au km vp apige nyagi akichanganya na maziwa fresh hakika haitoskika harufu yyt ila vibe lile lileKaribia kila pombe ina harufu ila ngoja nikupe maarifa ukishamaliza makunywaji yako kula ndizi moja.. Harufu yote itapotea
Banana wine hapana mkuuKunywa banana wineView attachment 1784033
Hiki kinywaji ni hatari huna uzoefu unazimaKunywa banana wineView attachment 1784033
Uko kwenye altare kabisa mkuuWanaume wa shokaView attachment 1786132
Piga sana hizi na mwanangu wa kuitwa Zwanga nilipokua chuo, maajabu kuna siku niliumwa kutoa damu inamwagika tu kumbe zinaongeza damu aisee.Hiki kinywaji ni hatari huna uzoefu unazima