nlikua namuambia huyo mpendwa alievamia mada kwa mbeleKaunde wewe yeye kaunda wanaokunywa. Au unataka sapoti ya wanywaji
nlikua namuambia huyo mpendwa alievamia mada kwa mbele
in heaven there is no beer that's why we're drinking here ......kuna kawimbo flan hivi kapiga Gadna kwenye Jahaz jion ya leo kanasema " .... i love beer..." mwenye alienako akaweke hapa kama kamenivutia kwa ijumaa ya leo kabla sijaenda kumchek Algeria akifa.
mwanaume wa Dar.Tunatest mitambo. Kama kawaida but tupo kusini mapambano yanaendelea. Acha tuchangie kodi.View attachment 1158418
in heaven there is no beer that's why we're drinking here ......
Mkuu wala usijali, kama shida ni koo kuuma, ukunywe kwa njia ya kutundikiwa drip!Nimeacha rasimi kutumia pombe kali tatizo nikinywa sahivi kooni hazipiti natapika kabisa.
Waoo .. I like thisHuduma hadi mlangoni!View attachment 1162063
Sio maji, sema Wazee wa Mayiii!Wazee wa maji
asante mkuu kwa hii fact....kuna rafiki yangu wa kwenye pombe na maisha ya kila siku.amenikosea ila kwa hii post ngoja nimvumilie namcall muda huu huu tuveshe wote...maana nilimblock kote!Marafiki zako wa Ulevini Ulelewa Ulevini na hao mara nyingi ndio marafiki wa kweli ambao wanaweza kesha na wewe Central kama Nje ya Central kuna bar
Marafiki hawa wa ulevi wanaweza kesha Mochwari kwa sababu pale nje ya Hospital kuna Bar
Marafiki hawa huweza kesha kwenye msiba wako kwa sababu pale pembeni kuna Bar
Hakuna rafiki mwenye kuheshimu thamani ya Urafiki wenu kama mtu mnayekunywa naye pombe
Kama ukimpoteza rafiki mnayekunywa naye Pombe kurudi urafiki wenu ni ngumu sana Maana mara nyingi yeye siyo mnafiki
Rafiki huyu mara nyingi huwa mkweli mwepesi kujua kosa na kuomba samahani hana majivuno na Ukimtaka muda wowote atakuja
Usimdharau rafiki wa Pombe kwa sababu zozote ambazo hazina msingi na wala usikate urafiki na rafiki yako Mnywaji utakuwa umekosea for the Maximum
Rafiki huyu ni mkweli muwazi ila akificha jambo akiwa mzima atakwambia akiwa amelewa huyu ndio rafiki wa kweli kwako
USHAURI
Mtu asikudanganye kuachana na rafiki zako wanywaji maana anakuchonganisha na watu muhimu sana kwako
#Mdomo wenye furaha ni ule wenye pombe
kiu kimekata au bado tuongeze?View attachment 1163449
THIRSTDAY