Mungu akubariki sananaipenda sana konyagi... inaniongezea uwezo wa kunywa maji kwa wingi ASUBUHI TU nakata lita moja. mchana natirika na maji kama mdudu vile. tatizo tu napoteza kumbukumbu asubuh ya jinsi show zinavyokwisha usiku
Any body samaki samaki posta .??
Unajua mm nimelewa tangu asubui, yani nimelewa ila napenda Sana kusema ukweli tu huu uzi ni wawalevi, usipolewa ww sio mlevi ila ni mnywaji wa novida au mirinda, hivyo pita korongoniUzi una walevi wengi huu
Tunatest mitambo. Kama kawaida but tupo kusini mapambano yanaendelea. Acha tuchangie kodi.View attachment 1158418
Tunatest mitambo. Kama kawaida but tupo kusini mapambano yanaendelea. Acha tuchangie kodi.View attachment 1158418
Duu pole sana kiongoziLeo toka asbh nilikuwa bar moja inaitwa Good Time Park ipo stand ya Basi Luhanga maana toka bar ya King'ole pub iungue kwa moto wanywaji wengi wamehamia hapa, japo King'ole inafanyiwa ukarabati soon inarudi km mwanzo ,hapa Good time park nilikaa nikalipa kodi pale mpk saa 4 usiku nikaenda Ibungu Mabibo Mwisho nikapark gari nikaenda kilingeni nikakaa, Kumbe Bwana sijalock gari, nakuja kukumbuka muda huu ,jamaa anafungua mlango wa gari anashangaa why sijalock, Nashukuru hapa kuna ulinzi mzuri laa sivyo Leo mbona ningapata Majanga, maana nilikuwa na vitu vya maana na Muhimu kwa ofisi
Asante!Duu pole sana kiongozi
Kumbe walevi na kanisani mnaendaAsante!
Maana hata church Sijaenda Leo si kwa hangover hii
Nawasalimu blue monday