Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

IMG_8371.JPG


Weekend yangu inaanza hiviiii
 
Leo toka asbh nilikuwa bar moja inaitwa Good Time Park ipo stand ya Basi Luhanga maana toka bar ya King'ole pub iungue kwa moto wanywaji wengi wamehamia hapa, japo King'ole inafanyiwa ukarabati soon inarudi km mwanzo ,hapa Good time park nilikaa nikalipa kodi pale mpk saa 4 usiku nikaenda Ibungu Mabibo Mwisho nikapark gari nikaenda kilingeni nikakaa, Kumbe Bwana sijalock gari, nakuja kukumbuka muda huu ,jamaa anafungua mlango wa gari anashangaa why sijalock, Nashukuru hapa kuna ulinzi mzuri laa sivyo Leo mbona ningapata Majanga, maana nilikuwa na vitu vya maana na Muhimu kwa ofisi
 
Leo toka asbh nilikuwa bar moja inaitwa Good Time Park ipo stand ya Basi Luhanga maana toka bar ya King'ole pub iungue kwa moto wanywaji wengi wamehamia hapa, japo King'ole inafanyiwa ukarabati soon inarudi km mwanzo ,hapa Good time park nilikaa nikalipa kodi pale mpk saa 4 usiku nikaenda Ibungu Mabibo Mwisho nikapark gari nikaenda kilingeni nikakaa, Kumbe Bwana sijalock gari, nakuja kukumbuka muda huu ,jamaa anafungua mlango wa gari anashangaa why sijalock, Nashukuru hapa kuna ulinzi mzuri laa sivyo Leo mbona ningapata Majanga, maana nilikuwa na vitu vya maana na Muhimu kwa ofisi
Duu pole sana kiongozi
 
Back
Top Bottom