Edward A Chapa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 955
- 1,373
Hawa wapo mbele yangu nduguHahahaha, wasalimie hao wadau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wapo mbele yangu nduguHahahaha, wasalimie hao wadau
Oooh nilijua uko naoHawa wapo mbele yangu ndugu
Mkuu kama beki 3 mwenyewe ndiye huyu, ruksa kukosea chumba!Za jana zilikuwa kali kweli kweli..kidogo niingie kulala chumba cha binti wa kazi.View attachment 1124311
kvant na kirikuuUnatumiaga kilevi gani?
punguza aina hiyo ya unywaji ni hatar kunywa kawaida tuWe acha tu maana hata siwezi kuelezea.
Oooh nilijua uko nao
kweli manake asubihi narudishaga chenjiBadilli
HahahahaUmemuiga Shunie kutuita Wazee.
Yule binti ana mikato sana
nipe code nisogee icho kipande maanaSijui kama panaitwa hivyo. Ni kwa mrefu mbele kidogo ya Cet garden
Kwa mrefu hapo kituoni Kuna bar Ina carwashnipe code nisogee icho kipande maana
bismark auKwa mrefu hapo kituoni Kuna bar Ina carwash
Mzigua....sasa unataka utuchanganye....tushindwe kufikiria sawa sawa....Za nyumbaniView attachment 1119851