The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,309
- 20,326
Buscar la vida hii bila shaka
Yes nilikua hapoBuscar la vida hii bila shaka
Hii kitu ilinifanya nikose mke wa kisabato,,,,alinambia chagua kimoja kati ya '' Mimi na mi pombe yako" nikachagua mi pombe yangu
Nina kiu hatari halafu nimeenda kwa mama muuza keshafunga
Nimekausha akiba yote jombaa
agiza nyingine nitalipa!badooo😋😋
manengelo nasubiri picha kama ile
Hahaha kwani hataki unywe?Wewe shida yako unikosanishe ..ww unataka unifanye nikose mambo ya maana..sishawishikiiiii
Hahaha kwani hataki unywe?
Daaa mwana anaroho ngumu mnoo...anakaba mabaharia tusisafishe macho, ila fresh tuHatak maphoto..acha kbs
Daaa mwana anaroho ngumu mnoo...anakaba mabaharia tusisafishe macho, ila fresh tu
Hahaha kama yuko hapa baharia mruhusu mama atupie japo moja...natanguliza shukran mkuuHahaha anasoma hapa ujue(jokes)
Hahaha kama yuko hapa baharia mruhusu mama atupie japo moja...natanguliza shukran mkuu
hongera kwa kupata hangover... Me hadi muda huu sielewi!!!tilalilaHangover km lote🤔