Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,754
- Thread starter
- #16,481
Duu imekuwaje?Huyu PIERE LIQUID amefanya walevi tuheshimike mitaani,,,soon anaenda marekani
Sent using Jamii Forums mobile app
Jr
Duu imekuwaje?Huyu PIERE LIQUID amefanya walevi tuheshimike mitaani,,,soon anaenda marekani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani unamfahamu,,kutoka na vile vituko vyake anavyofanyaga akiwa LIQUID ndo vimempa fursa nyingi...kwa sasa ni balozi wa halotel,,smirnoff,stars na mwezi wa nne kuna kampuni ambayo pia kapata ubalozi wanampeleka Marekani,,Ameshapelekwa kenya kufanya ziara...Maneno yake maarufu ni MAMAAA NAKUFAA AIII,ambayo Rayvanny kayatumia kwenye tetema..... Jamaa anasema yeye ni.mlevi smartDuu imekuwaje?
Jr
Disco limeingia mmasai....!!! Ndugu yangu ya kaisari mpe kaisari... Hapa sio sinagogi tafadhali
Jr
Duh na wewe unazipiga hizo?
Jirani tunatiana KIU
Hiii kitu niliikuta maeneo ya nzega, bukoba kwa kifupi kanda ya ziwa uko ila kwa uku katkat ya nchi sijaiona