Nikisema wahuni nitakuwa nakosea, ni muhuni mmojaIla mkuu nirudishe pwani investment aise, wahuni walinipora sim halaf wakanileftisha group zote..
Sent using Jamii Forums mobile app
Najiungaje huko MkuuIla mkuu nirudishe pwani investment aise, wahuni walinipora sim halaf wakanileftisha group zote..
Sent using Jamii Forums mobile app
Doh alizifakamiaMambo hayo, baada ya tungi zitoView attachment 1000781
Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
Mm natoa lock na pombe tenaMmeamkaje wakuu?
Hivi mfano umeamka na hang over mida hii na ofisini unatakiwa saa mbili asubuhi, chap chap unajiweka sawa uingie ofisini ukiwa vizuri?
Natafuta uzoefu...
Mpambano unaendelea.
Ok niliona umeleft ngoja nifanye mamboIla mkuu nirudishe pwani investment aise, wahuni walinipora sim halaf wakanileftisha group zote..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua naipenda sana ikanikataa.
Kuna Banana Wine, ile ni moto maramoja!Hiyo pombe iko vizuri sana kwa uchumi huu hiyo inawahi kuamsha amsha