mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,813
- 105,992
Navuta pumzi lazima uzugeHallelujah
Mama mlokole atasema Mungu amesikiliza maombi yake
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Navuta pumzi lazima uzugeHallelujah
Mama mlokole atasema Mungu amesikiliza maombi yake
Atakuwa yuko chakaHahahaha
mtu chake akionekana mwambieni nimemmiss tu mm namtafuta jamani
Nimerudi home nataka kitu cha baridi, niliacha beer kwenye fridge, kuna 'fisi' mmoja kapita nazo zote... imebidi maziwa yahusike tu
Nimerudi home nataka kitu cha baridi, niliacha beer kwenye fridge, kuna 'fisi' mmoja kapita nazo zote... imebidi maziwa yahusike tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaniii arudi basi
Hahahhahhaha we unaonekana jamani ana week simuoniYaani una-mmisi huyo 'Mkongo' tu! Mpaka nimepata wivu! Kwanza jua yeye huwa ana interest na mabonge tu!
Sawa Watu na nyota zao.Hahahhahhaha we unaonekana jamani ana week simuoni
HahhahahaSawa Watu na nyota zao.
Mie mnyonge niseme nini zaidi ya kucheze Makhirikhiri!
Nimerudi home nataka kitu cha baridi, niliacha beer kwenye fridge, kuna 'fisi' mmoja kapita nazo zote... imebidi maziwa yahusike tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwaachia deni la kunitafutia ajira mkuu maana nasikia deals nyingi zipo bar!Unatuachaje
Jr
Umefanya vema kuliweka wazi hili hebu tuma maombi yako hapa Kedstanzania@yahoo.comNiliwaachia deni la kunitafutia ajira mkuu maana nasikia deals nyingi zipo bar!
Nitatoa fungu kubwa sana la shukrani kwa ataenifanikishia kupata kazi.
Nina Degree ya Logistics Management, with 3 years professional experience katika supply chain management.
Napatikana Mwanza
Napatikana kwa namba hii 0683011003
Asante sana Mr. Mshana! Nimetuma CV yangu kwenye hio barua pepe!