Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,783
- 28,795
Acheni ulevi nunueni matofali mjenge
Walevi wakubwa nyie
Walevi wakubwa nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We utakua upo bukoba vijijini ndanindani ukoMjomba wenu napigia monde/vyombo kwenye kilabu ambacho hakina hata sakafu wala tires za marumaru. Hapa Mimi ndio superstar it feels good kukaa na wajinga I fell like genius.
Ukiagiza balimi kila mtu anakushangaa hapa sababu pombe wanazokunywa ni za jero jero...inanifanya naonekana kama Billget kisa nimeagiza Balimi.View attachment 863113
We mwambie akwende.atarudi tu...Nimefululiza kulewa last week ikabakia kidogo niachwe na wife.Eti niwe nanywea nyumbani mambo gani haya sasa!
Waiter zungusha tena kwa kira mchangiajiKwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Mbona ka bill kadogo hivo mtarud saa ngap
Hapo kuku polii wote wakoMjomba wenu napigia monde/vyombo kwenye kilabu ambacho hakina hata sakafu wala tires za marumaru. Hapa Mimi ndio superstar it feels good kukaa na wajinga I fell like genius.
Ukiagiza balimi kila mtu anakushangaa hapa sababu pombe wanazokunywa ni za jero jero...inanifanya naonekana kama Billget kisa nimeagiza Balimi.View attachment 863113
Mh mim sio mchoyo bhanaPicha jamani tunogeshe mada
Tupo sawa katika hilo.Juzi nilizima kudadek baada ya kula vyombo vya kufa mtu.Sasa hiz nikisikia harufu ya bia nachefukaJUZI NIMEPIGA VYOMBO KIASI KUWA SASA NATAMANI NIKAE MWEZI NISISIKIE HIZI HABARI
Hii kitu ilinifanya nikose mke wa kisabato,,,,alinambia chagua kimoja kati ya '' Mimi na mi pombe yako" nikachagua mi pombe yanguAliyegundua hii kitu ashukuriwe sana, siku hizi uwezo wa kupiga vikali unapungua kwa kasi, au sijui ndiyo nataka kuokoka au ni nin hiki, mana napiga vi serengeti tu.
View attachment 863150
Mkuu una ghorofa nini ??Acheni ulevi nunueni matofali mjenge
Walevi wakubwa nyie
MaghorofaMkuu una ghorofa nini ??
Kujenga ni kuogopa maisha piga vyombo kichaa apate kodi brother.Acheni ulevi nunueni matofali mjenge
Walevi wakubwa nyie
Wewe ndio Mwanaume wa shoka,huyumbishwi na Ngalawa,muhudumu mpe tatu za fasta huyu. Na ujasiri huo Wanaume wa Mikoani hawauweziHii kitu ilinifanya nikose mke wa kisabato,,,,alinambia chagua kimoja kati ya '' Mimi na mi pombe yako" nikachagua mi pombe yangu