Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,106
- 9,213
Niko kuvipiga vitu vyangu
Mkuu niuzie hiyo kofiaNiko kuvipiga vitu vyanguView attachment 863247
Hahaha kipindi kinakua kishajifungaKuna kiboko yake sasa inaitwa Pilsner King buku Jero tuu,na ukinywa 3 ushamaliza kila kitu.
Imekuwaje?
Hahaha,.ngoja n'dondoshe namm yangu,.
TAHADHARI
Jikagueni Walevi kabla hamajarudi homeView attachment 863118
TAHADHARI
Jikagueni Walevi kabla hamajarudi homeView attachment 863118
Nimeona Smirnoff tu huyo njemba mwingine hapanaWazee wa Ligi ngumu karibuniView attachment 863224
Hahaa. Inaonyesha wewe member hapo. Mpaka jina wameandika
Na kuna mwingine wa One for the road au for the no reasonKwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Nyumbani tunakunywaga dawaNimefululiza kulewa last week ikabakia kidogo niachwe na wife.Eti niwe nanywea nyumbani mambo gani haya sasa!
Nyumbani tunakunywaga dawaNimefululiza kulewa last week ikabakia kidogo niachwe na wife.Eti niwe nanywea nyumbani mambo gani haya sasa!
Meza ilianza na baa.Mwambi mmiliki abadilishe meza