mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,805
- 105,962
Watu wamezisiii ngj tu jiandae kwa majuku mu ya bdy leoooo
Ova
Watu wamezisiii ngj tu jiandae kwa majuku mu ya bdy leoooo
Nmerudi sahv acha nijipongeze kidogoSawasawa nami najiandaa kuelekea Tmk muda huu
Hii W Bar mabibo mwisho ipo maeneo ya wapi? Muleba,Gonga zote,jambo,Ibungu,Namnana au?Ndani ya W bar mabibo MwishoView attachment 899909
Kiwanja chako naonaNgojea tukimbize mwizi kimya kimya , atoe kelele yeye View attachment 899911
Yap KatibuKiwanja chako naona
Ova
Naenda korogwe Nna kikao kdg ila ntarudi mapemaYap Katibu
Leo nimepitia maeneo haya , Nikasema ngoje nicheki mpira kidogoNaenda korogwe Nna kikao kdg ila ntarudi mapema
Ova
😁😁😁😁😁😁😁Kitandaa kimenimiss sana...
Muda sijakilalia......
Na kesha kama bundi....
Ova
Katibu chunga usije kukimbiwa na shemeji.
Mi leo mapema nipo home.