kisikiji
JF-Expert Member
- Feb 2, 2015
- 2,530
- 2,494
Namba za sim au nafasi?.πππππ.Nichukulie namba....
Namba za sim au nafasi?.πππππ.Nichukulie namba....
ππππππ umenijibu kikaksi. Kisa hujaanza ligi au?.za mjenzi wa ukuta na gardener
Nyagi nlipiga sana mpaka nikinywa nikawa nawashwa mwili mzima nikazikimbia!
Hapo vp maana dada wa jikoni kanisogelea kwa mnywaji mtata,vp nkuweke hapoza mjenzi wa ukuta na gardener
Aliniwekea madawa kwenye nyagi
Ingekua inafaa kutuma kwakutumia sim ningekutumia maana najua kiu ilivyo.Ngoja nichakachue ya mochwari kidogo.. Uvumilivu umenishinda View attachment 871366
Ingekua inafaa kutuma kwakutumia sim ningekutumia maana najua kiu ilivyo.
Mi bado sijaomba bili ujue.View attachment 871392
View attachment 871423 ila wazee tuache utani safari ni tamu asee. Nkinywa safari naskia mwepesi kama nmetoka kuungama