mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,813
- 105,989
Nyagi balaaKvant kwa nyagi inasubiri sana
Alafu ladhaa Safi
Kikubwa wa wakomalie wale wanachakachukua nyagi tu ahhh
Ova
Nyagi balaaKvant kwa nyagi inasubiri sana
Najua majukumu umebanwa mzee babaNachangia mada kwa uchungu sana kiu kimebana balaa
Pamoja ila ujue wanywa soda tunawaumiza ni hizi pic.
Soda sumu. Tu we soda Pepsi au Koka. Tunatumia kusafisha kutu kuondoa ahhhPamoja ila ujue wanywa soda tunawaumiza ni hizi pic.
hapa nilipo michongo hiyo iko mbali mwana ngoja tu nivumilieNajua majukumu umebanwa mzee baba
Vp si ujiibe
Kuna siku nilienda polisi obay alafu ikawa mapema ah Nkaenda kwenye bar yao pale
Nkamwambia kaunta afanye mazabe ninywe
Moja mbili....nkampa teknics zetu zile Aweke pombe ndani ya dragon au redbull sisi tupige mambo
Tulilewa kuanzia saa nne mpaka kesho yule kaunta salute
Ova
Poa vumiliahapa nilipo michongo hiyo iko mbali mwana ngoja tu nivumilie
Duh hadi kilingeni kuna mbinu ya kunywa tunginina zile za Msata Kilingeni hapa nilipo
Mimi najiona.Hii ni sifaaa aiseeView attachment 870803
hapa nilipo michongo hiyo iko mbali mwana ngoja tu nivumilie
Waache kutuita walevi watuite wachangiaji kodi watiifuMimi najiona.
Ngoja nianze na hiiWaache kutuita walevi watuite wachangiaji kodi watiifu
Ova
Nyagi nlipiga sana mpaka nikinywa nikawa nawashwa mwili mzima nikazikimbia!Kvant kwa nyagi inasubiri sana