fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,023
- 5,000
Yani nikupe tu hela uondoke zakoNyie wanywa pombe nna swali ivi kwanini mnatabia ya uchoyo Wa ela....ila kumnunulia mtu pombe ni wepesi sana .ila kumcash mtu hamuwezi kwanini????
Yani nikupe tu hela uondoke zakoNyie wanywa pombe nna swali ivi kwanini mnatabia ya uchoyo Wa ela....ila kumnunulia mtu pombe ni wepesi sana .ila kumcash mtu hamuwezi kwanini????
Nyie wanywa pombe nna swali ivi kwanini mnatabia ya uchoyo Wa ela....ila kumnunulia mtu pombe ni wepesi sana .ila kumcash mtu hamuwezi kwanini????
Sheria hairuhusu kabisa kutoa helaNyie wanywa pombe nna swali ivi kwanini mnatabia ya uchoyo Wa ela....ila kumnunulia mtu pombe ni wepesi sana .ila kumcash mtu hamuwezi kwanini????
Kuna Dar Safari park ya Kijichi nayo ni tamuKuna kauli huwa inasambaa sana mitandaoni kuwa wanaume wa buza wanafeli wapi leo nimetembelea buza nione wanafeli wapi hivyo nipo dar safari hapa nachangia kodi....
Mkuu niko hapa Erado hotel namalizia malizia bia nikalale,upo king'ole leo!?King'ole inn pub nalipa kodi mdogo mdogo View attachment 1256866
Aliyepo hapa kwa mama kamche ajongee tushirikiane kummaliza huyu mdudu
Aiseee nyie watu ni wachoyoSheria hairuhusu kabisa kutoa hela
Hiyo ni sheria namba 1 ya 1977 kifungu cha 2b ya kanuni na utaratibu wa wanywa pombe iliyofanyiwa marekebisho 2017.Nyie wanywa pombe nna swali ivi kwanini mnatabia ya uchoyo Wa ela....ila kumnunulia mtu pombe ni wepesi sana .ila kumcash mtu hamuwezi kwanini????
naaaamKuna kitu inaitwa plisner King ni shida
Picha jamani tunogeshe mada
Samahani ndugu nilikuwepo pale kwenye Mtumbwi kwa nje ila Simu haikuwa na chaji so Sikuwa hewani hukuMkuu niko hapa Erado hotel namalizia malizia bia nikalale,upo king'ole leo!?