ni kweli
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 236
- 288
Bila chenga
Kuna 8.6% 12% 14% na 16% unajikadiria dozi mwenyewe.8.5%?
Kuna 8.6% 12% 14% na 16% unajikadiria dozi mwenyewe.8.5%?
Hahahahaa ukipiga k vant inabidi utombe hasa then upumzike kwa saa 6 yaani ulale kama ndio unaanza hapo no hang overKV sio pombe wazee nilikunywa juzi nikaamka mtungi bado upo kichwani hakuna kitu kinapita mdomoni mpaka jioni yake
Mkuu unataka pingu utaimudu? Maana hiyo 8.5% nilipiga mbili tu, nikabakisha kiporo cha leo tena mbili kama dozi.Nataka hiyo kubwa
huko kungine hapana, bora vodka or any type of gin.Nshakulaga 56% ya kichina
Upo harusini?
Wapi hapa?Ijumaa inaanza hiviView attachment 1212199
Wapi hapa?
vyote vya.....Mdogo mdogoView attachment 1212452
Unajajengea concreate foundation kwanza ya kidali cha ng'ombe cha kuchoma ama nyama pendwa.Huwa nikinywaga kali... Nayaarifu kabisa maini yangu na bandama vipishe njia mzigo unakuja
😅😅😅Mdogo mdogoView attachment 1212452