Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 5,570
- 8,685
Hii comment ilibidi iwe namba moja kabisaJohn Magufuli raisi alieongoza Tanzania kwa muda wa miaka 5 na miez 5 tu lakini alifanya mazuri Mengi yenye kujenga taifa lake ni rais aliependwa na wengi sio nchini kwake tu bali hata Africa na dunia nzima, wengine ilifikia hatua mpaka kutaman akaongoze nchi zao walau ata kwa muda wa miez 6
Mzalendo wa kweli na mwenye uchungu na taifa lake alifariki 17/3/2021 lakini mpaka leo kifo chake kimezua maswali mengi yenye utata kwa watu duniani koteView attachment 1798276
Sent using Jamii Forums mobile app
Moderator fanyeni jambo