JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,327
- 9,325
Ninkushtuka tu mkuu
Okay tatizo linaweza kuwa dogo kama ATF kuwa chache au la saizi ya kati kama kustuck kwa valve kwenye gearbox(Hapa uwezekano ni mdogo) au Linaweza kuwa kubwa kama kubadili au kuitrain upya control box ya gearbox/gari yako.
Kama upo Dar karibu.