Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Ninkushtuka tu mkuu

Okay tatizo linaweza kuwa dogo kama ATF kuwa chache au la saizi ya kati kama kustuck kwa valve kwenye gearbox(Hapa uwezekano ni mdogo) au Linaweza kuwa kubwa kama kubadili au kuitrain upya control box ya gearbox/gari yako.

Kama upo Dar karibu.
 
Okay tatizo linaweza kuwa dogo kama ATF kuwa chache au la saizi ya kati kama kustuck kwa valve kwenye gearbox(Hapa uwezekano ni mdogo) au Linaweza kuwa kubwa kama kubadili au kuitrain upya control box ya gearbox/gari yako.

Kama upo Dar karibu.

Nikija Dar nitakufafuta mkuu shukran sana!
 
Natamani kuijua nisan juke na je naweza kuipata kwa mtu namba c au d mkuu ?
Mungu Kwanza
Bei million 19.5
NISAN model
JUKE year 2010
Engen Cc 1490
Push to start
Haijawahi rudiwa
Rangi popote
Full documents
Full A/c gari nzuriView attachment 1571255View attachment 1571254View attachment 1571257View attachment 1571256
IMG-20200916-WA0092.jpg
 
msaada wadau, NNA MACHAGUO 3
1 . SUBARU XT 2010
2. BMW X3
3. NISSAN MURANO
Naomba maoni kitaalam kwa safari na ubora....(usiweke kigezo Cha Kula Mafuta)
Nihamie wapi katika Izo SUV?
 
nina 4m natafuta gari
vits
gx100
mark two grang
na zingine zilixopo ni pm for more information
 
Lege....popote ulipo....tafadhali tuwasiliane inbox.

Au kwa yeyote mwenye namba ya Lege ya mkononi...naomba share with me inbox.

Asante wana jukwaa!
 
Back
Top Bottom