Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

For sale
IMG_20200324_073825_001.jpeg


Jr
 
Umuhimu wa airbags... Ukiachana na uimara wa gari lakini airbag kwakweli nazo ni muhimu mno... Na sidhani ni wangapi Wanajua kuwa airbags zina lifespan na zinatakiwa kufanyiwa service baada ya muda fulaniView attachment 1375180 Hii ajali hakuna aliyepoteza uhai zaidi ya majeruhi

Jr
Mkuu hizi airbag zinafanyiwaje service?

Hili litakuwa jambo muhimu.

Na ningependa kujua life span yake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na sio sheria kwamba unatakiwa kubadilisha oil kila baada ya km 10,000 swala la oil unatakiwa ubadilishe angalau kati ya km 5000-7000 kama umeweka synthetic na genuine oil filter au kubadilisha kati ya km 1000-2500 kama umeweka mineral oil hii itakusaidia kuweka kuilinda engine yako na ikaweza kudumu kwa mda mrefu zaidi, pia unashauliwa kumwaga oil na kuweka mpya pindi tu ukigundua oil level yako iko chini to the minimum point na hapa ndio wengi huwa wanakosea badala ya kumwaga na kuweka mpya yeye anaongezea tu kwa kufanya hivyo unazidi kuharibu engine yako badala ya kuitibu kwani unachokiongeza kinaenda kufanya kazi ndogo sana mle ndani
Nimalizie kwa kusema tu sababu za kubadilisha oil na kuweka mpya ziko kadhaa ila kwangu angalau
01 badili oil yako kati ya km 5000-7000 kama umeweka synthetic oil na genuine oil filter na km 1000-2500 kama umeweka mineral oil
02 badili oil yako kama imepungua hadi kufikia hatua ya minimum, tukalibishe wengine wenye uelewa mpana zaidi wa oil na vilainish
Mkuu me Nina Toyota Altezza. Na huwa ninaweka oil Total kila baada ya km 3000. Unadhani hii iko poa au niongeze km?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujua toka kwa wazoefu wa haya magari, ingawa yako tofauti sana ila kama kuchagua ipi ni choice nzuri, Nissan Dualis au Subaru Forester (model za kuanzia 2008). Kitu au kigezo kikubwa ni reliability na maintenance.
 
Siko sure sana na hizi gari but Nakushauri opt Nissan
Naomba kujua toka kwa wazoefu wa haya magari, ingawa yako tofauti sana ila kama kuchagua ipi ni choice nzuri, Nissan Dualis au Subaru Forester (model za kuanzia 2008). Kitu au kigezo kikubwa ni reliability na maintenance.

Jr
 
Jamani msaada Nina mpango WA kununua japo usafiri wa piki piki aidha Honda xl 125/honda ace x CB 125 nauliza kwa aina za Honda vp Ni nzuri kwa matumizi kwa barabara ngumu Na za milimani???je inafaa kwa mizigo appr 100kg??je spare zake zinapatikana kwa urahisi...hata kwenye nayo kwa biashara karibu...
 
Back
Top Bottom