Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Duh pole
Sana mkuu, umenena vema
Nlibadilisha oil ya engine na filter halaf fundi akasahau kukaza vzr ile bolt ya kumwagia oil

Nkaanza zangu safar halaf ilikua safar ndefu kinoma wakat natembea ile bolt inafunguka taratibu mpka ikadondoka
oil ikaanza kumwagika taratibu na vile engine ilikua imeshapata moto ilivyokua inamwagikia inaunguzwa nkaanza kuona moshi kwenye mirror

Nkapak pembem kutizama duuuuh oil inamalizikia chin

Nkaita fundi kutoka dar akaja na oil pamoja na filter tukafunga upya baada ya kuachana na fundi mbele huko ikaanza kuleta mauzauza ika nock sitasahau ule usiku kwenye lile pori na mvua ilikua inanyesha na nlikua peke yng kwny gari

Nlibadilisha engine sahv nainjoi nayo maisha haina kokoro ya aina yoyote ile
 
Habari mkuu Mshanajr mim nna vits rs ni mannual ukiingiza gear,,,gear leaver inakua kama inakwama hiv haiko smooth na sterling inakua ngumu kidgo....nmeenda kwa fundi kanambia ni clutch plate ndo zmeisha
 
Sorry, ni aina gani ya betri nzuri na ya bei nafuu.
Naona wanajukwaa walisahau kukupa jibu la hili swali asilimia kubwa battery zote ni nzuri ila nadhan unataka ipi angalau ni nzuri zaidi kwangu nakushauri tumia powelast, atlas au yuasa na kuhusu bei sijajua gari yako inatumia battery yenye ukubwa gani maana zinatofautiana kulingana na ukubwa na uimara wa kampuni pia lkn kwa sababu hapa haturuhus kujitangaza ukitaka maelezo zaidi na namna ya kukuletea ni pm
 
Naona wanajukwaa walisahau kukupa jibu la hili swali asilimia kubwa battery zote ni nzuri ila nadhan unataka ipi angalau ni nzuri zaidi kwangu nakushauri tumia powelast, atlas au yuasa na kuhusu bei sijajua gari yako inatumia battery yenye ukubwa gani maana zinatofautiana kulingana na ukubwa na uimara wa kampuni pia lkn kwa sababu hapa haturuhus kujitangaza ukitaka maelezo zaidi na namna ya kukuletea ni pm
 
Wakuu naomba kuuliza process za kusajili gari kwa namba maalum kwa mfano badala ya plate no kuwa T450 XXX iwe PHARMD 01...
Nadhan nmeeleweka natanguliza shukran
 
Walishaipandisha mkuu.


Kodi ya Kusajili Gari Kwa Kuandika Jina Lako Yaongezeka Kutoka Milioni 5 Hadi 10

Serikali imebainisha kuwa kodi ya usajili wa namba binafsi kwenye magari unategemea kupanda kutoka shilingi 5,000,000 mpaka shilingi 10,000,000 kila baada ya miaka mitatu.

Hayo yamesemwa jana Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango alipokuwa akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2016/17.

“Napendekeza kufanya marekebisho kwenye Sheria ya Magari inayohusu kodi ya Usajili na Uhamisho wa Umiliki wa magari na kufanya ada ya usajili wa namba binafsi kupanda kutoka 5,000,000 hadi shilingi 10,000,000 kila baada ya miaka mitatu,” alisema Dkt. Mpango

Akitoa sababu ya kupandisha kodi hiyo, Dkt. Mpango amesema kuwa kodi hiyo imepanda ili kuhuisha viwango vinavyopendekezwa kulingana na thamani halisi ya fedha nchini.

Ooh kumbe ilishatoka kwenye million 5?
 
Walishaipandisha mkuu.


Kodi ya Kusajili Gari Kwa Kuandika Jina Lako Yaongezeka Kutoka Milioni 5 Hadi 10

Serikali imebainisha kuwa kodi ya usajili wa namba binafsi kwenye magari unategemea kupanda kutoka shilingi 5,000,000 mpaka shilingi 10,000,000 kila baada ya miaka mitatu.

Hayo yamesemwa jana Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango alipokuwa akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2016/17.

“Napendekeza kufanya marekebisho kwenye Sheria ya Magari inayohusu kodi ya Usajili na Uhamisho wa Umiliki wa magari na kufanya ada ya usajili wa namba binafsi kupanda kutoka 5,000,000 hadi shilingi 10,000,000 kila baada ya miaka mitatu,” alisema Dkt. Mpango

Akitoa sababu ya kupandisha kodi hiyo, Dkt. Mpango amesema kuwa kodi hiyo imepanda ili kuhuisha viwango vinavyopendekezwa kulingana na thamani halisi ya fedha nchini.
Hii serikali ni hovyo kabisa mbona wameweka ada ndeefu mno!
Yote hayo ni tamaa za TRA kuongeza makusanyo wakat huohuo kwa kujua au kutokujua kwamba kuongeza hyo ada kunapunguza idadi ya watu wanaosajili magari kwa hizo namba...

Aaaah nmepanic aisee 10M wakat huo gari yenyew hata 100M haifiki!
Nlipania sana lkn mhhh 10M parefu
 
Daah pole sana mkuu na waziri anasema eti sababu ya kupandisha ada hio ni

' Dr.Mpango amesema kuwa kodi hiyo imepanda ili kuhuisha viwango vinavyopendekezwa kulingana na thamani halisi ya fedha nchini'.

Sababu ya hovyo tu na wala sijaelewa hata alichokisema.

Kama vipi achana nayo tu mkuu maana kila baada ya miaka 3 kutoa 10mil ni pesa ndefu hio mkuu.
Hii serikali ni hovyo kabisa mbona wameweka ada ndeefu mno!
Yote hayo ni tamaa za TRA kuongeza makusanyo wakat huohuo kwa kujua au kutokujua kwamba kuongeza hyo ada kunapunguza idadi ya watu wanaosajili magari kwa hizo namba...

Aaaah nmepanic aisee 10M wakat huo gari yenyew hata 100M haifiki!
Nlipania sana lkn mhhh 10M parefu
 
Daah pole sana mkuu na waziri anasema eti sababu ya kupandisha ada hio ni

' Dr.Mpango amesema kuwa kodi hiyo imepanda ili kuhuisha viwango vinavyopendekezwa kulingana na thamani halisi ya fedha nchini'.

Sababu ya hovyo tu na wala sijaelewa hata alichokisema.

Kama vipi achana nayo tu mkuu maana kila baada ya miaka 3 kutoa 10mil ni pesa ndefu hio mkuu.
Yeaaah sure, ila kuna tatzo kwa watunga sera wetu degree zao nne nne kama taifa hazitusaidii
 
Back
Top Bottom