Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,021
- 2,253
Duh pole
Sana mkuu, umenena vema
Nlibadilisha oil ya engine na filter halaf fundi akasahau kukaza vzr ile bolt ya kumwagia oil
Nkaanza zangu safar halaf ilikua safar ndefu kinoma wakat natembea ile bolt inafunguka taratibu mpka ikadondoka
oil ikaanza kumwagika taratibu na vile engine ilikua imeshapata moto ilivyokua inamwagikia inaunguzwa nkaanza kuona moshi kwenye mirror
Nkapak pembem kutizama duuuuh oil inamalizikia chin
Nkaita fundi kutoka dar akaja na oil pamoja na filter tukafunga upya baada ya kuachana na fundi mbele huko ikaanza kuleta mauzauza ika nock sitasahau ule usiku kwenye lile pori na mvua ilikua inanyesha na nlikua peke yng kwny gari
Nlibadilisha engine sahv nainjoi nayo maisha haina kokoro ya aina yoyote ile