Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haitoi moshi mwingi wa blue?Habar wanajamvi gari yangu ni toyota avensis ina engine ya 7A ni manual ila haichanganyi na inakuwa kama ina miss na inakula sana mafuta
Wakuu naomba kuuliza bei ya Air cleaner ya premio 2003 ni sh ngapi? Naogopa kupigwa mtaan wajanja wengi
Haizidi elfu 20 mpaka 15 nazani unapata hizo made in tanzaniaWakuu naomba kuuliza bei ya Air cleaner ya premio 2003 ni sh ngapi? Naogopa kupigwa mtaan wajanja wengi
Gari nzima sana hiyo tatizo hapo ni gearbox tu.. Ule moshi unaoona asubuhi ni mvuke na engine kutoa maji ni sahihi kabisa... Inaonesha uzima wakeHapana haitoi moshi kabisa ila asubuh ndo inatoa moshi wa kijivu na maji kwa injini ila ikiwa tambalale haisumbui inaenda tu vizur tatizo kwenye mlima inachelewa kweli kuchanganya na inataka tu gia kubwa.
Usifikirie kubadilisha mashine kwanza mtafute fundi mzoefu wa umeme akuangalizie, niliwahi kuwa na tatizo hilohilo nikawa najipanga kubadili mashine kama unavyowaza wewe siku niko vizuri nikaenda kwa fundi huwezi amini kazi ya dakika 5 tu na akasema nimlipe 6000! Hadi leo halijanisumbua tena.Msaada,,kioo cha mbele cha dereva hakipandi wala kushuka,ila vioo vingine viko vizuri,wapi naeza kubadilisha hi mashine ??gari ni mercedes c class
Pia natafuta maeneo kwa arusha wanaofanya service Mshana Jr
Asante mkuu kwama ishushwe gia boksi au kuna sehemu ya kufungua na kusafishaInahitaji service kwenye chujio
https://tms.tpf.go.tz ingiza namba kamili ya gari, mfano: T543 DCR kisha search .Msaada tutani, mwenye kujua namna ya kuangalia kama gari ina deni TRA kwa kutumia simu.
Asante mkuu.https://tms.tpf.go.tz ingiza namba kamili ya gari, mfano: T543 DCR kisha search .