Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,253
- 1,026
Ipo Mwenge mkuuLege Ofisi iko sehemu gani nikutembelee, nami nipo hapa Dar, Mbagala ndo naishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo Mwenge mkuuLege Ofisi iko sehemu gani nikutembelee, nami nipo hapa Dar, Mbagala ndo naishi.
Mkuu mm nipo mwenge.karibu sana.Lege Ofisi iko sehemu gani nikutembelee, nami nipo hapa Dar, Mbagala ndo naishi.
Poa nitakuona mkuuMkuu mm nipo mwenge.karibu sana.
Mmh hapa kuepuka guess works nashauri ukacheki kwa kutumia computerBREKI KUVUTA UPANDE
Wadau naomba kujua tatizo ninini, gari aina ya nissan vannete ukishika breki inavuta kushoto kiasi kwamba ukiwa na speed zaidi ya 80 inaweza kuanguka, nimejaribu kupuliza zile pipe za mafuta kuona kama zimeziba lkn ziko sawa nikabadilisha master sillinder ya breki lakin shida bado ipo, na zaidi ukikanyaga mara mbili au tatu haivuti, ukiishia moja inavuta na pia inakuwa ngumu sana, naomba ushauri wenu.
Agiza chombo iko njema iyoWadau nimevutiwa sana na Landrover Discovery 3, diesel engine, naomba ushauri wenu hasa kwa mazingira yetu ya hapa Tanzania, nataka kuagiza kutokea South Africa
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kabisa 100%. Tafuta gear box ya gari model husika, funga. Usijaribu kunjunga ie gear box itayolazimu modifications za aina yeyoteHivi wadau inawezekana kubadili mfumo wa gari kutoka automatic kwenda manual?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanì inatoa moshi wa rangi gani? Bluu au mweupe? Kama ni Bluu Andaa kama laki nne au tano, tafuta fundi mzuri, fanya overhauling mkuu. Kuna seals na gasket kibao zitakuwa zimekufa, so oil inaingia kwenye combustion chamber (mfumo wa uchomaji wa mafuta)na inaunguzwa sambamba na petroliHabari ya jioni
Nadia type su engine 3s inatatizo la kutoa moshi mwingi asubuhi au hata ikipigwa less pia inamaliza engine oil
Naomba ushauri wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante unaweza pendekeza fundi mzuriAndaa kama laki nne au tano, tafuta fundi mzuri, fanya overhauling mkuu. Kuna seals na gasket kibao zitakuwa zimekufa, so oil inaingia kwenye combustion chamber (mfumo wa uchomaji wa mafuta)na inaunguzwa sambamba na petroli
Wasiliana na LEGE, yumo humu humu JF. Amekuwa msaada kwa watu wengi sana hapa jukwaani. Binafsi hatujawahi kuonana ila kupitia appreciations za watu na misaada ya kimawazo anayotoa ni dhahiri kuwa fundi mzuri. Yupo Mwenge tu hapo
Asante mkuuWasiliana na LEGE, yumo humu humu JF. Amekuwa msaada kwa watu wengi sana hapa jukwaani. Binafsi hatujawahi kuonana ila kupitia appreciations za watu na misaada ya kimawazo anayotoa ni dhahiri kuwa fundi mzuri. Yupo Mwenge tu hapo
Yeah ukimpata fundi mahiri inawezekana kabisaHivi wadau inawezekana kubadili mfumo wa gari kutoka automatic kwenda manual?
Sent using Jamii Forums mobile app
Cheki na power steering fluid (hydraulic) kama imepungua au kuna leakage. Hakuna sauti au mvumo wowote uusikiao ukiwasha gari?hello wakuu, msaada tafadhali, sterling ya nissan xtrail inakuwa ngumu je shida inaweza kuwa nini