Hauna uwezo wa kumiliki BMW ndiyo maana inakusumbua unalazimisha tu, hiyo imeshachoka!
Watu wanashindwa kuelewa, mteja anapokuwa na ufahamu kidogo, mahusiano ya fundi na mteja ni mazuri na ya kudumu. Uzi huu umetoa fursa hiyo. Nimepata mwanga wa mambo mengi. Wadau, taa ya ABS ya V8 J100 series inawaka. Nini gonjwa?
Sawa sawa mkuu nilijua kati ya ile list nliyompa lazima atapata suluhisho...Naona.. Amina thobias atakuwa ashapata jibu
asante
Embu cheki water pump mkuu unaweza kukuta ndio tatizo... alafu rudisha mrejesho
samahani mkuu tatizo la water pump linatokeaje, naomba kueleweshwa zaidi?
Kununua gari Japan sio guarantee kumbuka zinakuwa used, pia ndo maana nikaelezea historia ya tatizo kwamba rejeta ilitoboka njian ikawa safar, hivyo ili kufikia mahali walipo mafundi ilitulazimu kuiendesha kwa kuongeza maji kila baada ya umbali kadhaa.
wana JF wataalamu, Ndugu Mashana Jr
jamani haya mambo ya kuingiza used cars kutoka nchi za nje kweli ni shughuli si ndogo. nitashukuru ndugu ufahamisho zaidi kuhusu haya yafuatayo
1. Ati handling charges ni tofauti na delivery order?? hizi zote bill nimeletewa na clearing agent. Sasa kama sio sawa, delivery order (DO) ni yakuhusu nini? na gharama zake kwa gari dogo ni kiasi gani? Pia handling charges huwa ni kiasi gani kwa gari dogo?
2. Ati storage charges huwa ni kiasi gani kwa siku? na huwaanza lini kutozwa tangu gari lifike bandarini? Lakini si pia huwa kuna grace period, ya bure hiyo huwa ni ya siku ngapi?
3. Ati kuna gharama za ukaguzi wa TBS??? aisee huu umeanza lini na ni gharama kiasi gani.
Shukran!
Nenda kaangalie miguu (matairi), huenda ndo kuna tatizo, kuna kidude fulan hivi kimefungwa hapo mafundi wanakijua. Chukua fundi makenika afungue tairi then fundi umeme akikague hicho kidude. Ikishindikana ndio upige diagnosis.Watu wanashindwa kuelewa, mteja anapokuwa na ufahamu kidogo, mahusiano ya fundi na mteja ni mazuri na ya kudumu. Uzi huu umetoa fursa hiyo. Nimepata mwanga wa mambo mengi. Wadau, taa ya ABS ya V8 J100 series inawaka. Nini gonjwa?
Ndugu futota, gari Yako ukishalipia Cif, kinachofuata ni tra charges aka tax, then estimation ya kama $800 kwa ajili ya clearing and registration which Kuna chenji inabaki nyingi tuuu. For more help nipigie 0767328063 au whatssap me