Inaonekana unaipenda Harrier, licha ya gear box hata system suspension haitaki sana rough road na kama ni kuhitaji nafasi(space) ya ndani ya gari nenda kwa kluger 2AZ engine cc 2.4 (2360) 4cylinder with VVTi, kwa maoni yangu ni gari nzuri, very smooth kupata speed unayotaka hasa kama una safari za mikoani na resonable fuel consumption.
Lakini hapana!!! hapana!!! kwa kluger yenye V6 ya cc 3.0 hii lazima uwe vzr mfukoni,
Yote hayo ni maoni tu
But kuendesha v6 ama v8 kuna raha yake kaka duh! Nilikua mteja wa 4cylinder toka naanza kumiliki usafiri, but my v6 is making my ride even smoothier men! Ofcoz fuel itaongezela kdg kulinganisha na 4cylinder
Naomba mwenye kujua sababu ya gari aina ya bmw series e 381i kutetemeka usukani ninapofikia speed 80. tafadhali nisaidieni maana inabido niende spidi mwisho 70 wakati gari ina 245. haina tatizo lolote lingine. naomba ushauri hapa baada ya mafundi kuongea vitu vingi tofauti. wengine wanasema bush, wengine wheel balacing, wengine wheel alignment, wengine matairi, please help
Naomba mwenye kujua sababu ya gari aina ya bmw series e 381i kutetemeka usukani ninapofikia speed 80. tafadhali nisaidieni maana inabido niende spidi mwisho 70 wakati gari ina 245. haina tatizo lolote lingine. naomba ushauri hapa baada ya mafundi kuongea vitu vingi tofauti. wengine wanasema bush, wengine wheel balacing, wengine wheel alignment, wengine matairi, please help
Naomba mwenye kujua sababu ya gari aina ya bmw series e 381i kutetemeka usukani ninapofikia speed 80. tafadhali nisaidieni maana inabido niende spidi mwisho 70 wakati gari ina 245. haina tatizo lolote lingine. naomba ushauri hapa baada ya mafundi kuongea vitu vingi tofauti. wengine wanasema bush, wengine wheel balacing, wengine wheel alignment, wengine matairi, please help
1) mwambie fundi wako angalie tyrod hand
2) cheki matairi
3) cheki boll joints....
Hapo lazima Utagundua tatizo na ku solve
Sio peke yako, mimi passo ikifika speed 110+ inatetemeka. Ila huyo wa wheel balance anaweza kuwa sahihi
Ni ball joints na stabiliser links zimechoka ni za kubadili! Hilo si tatizo sana kwa kuwa ukiongeza mwendo over 100kph hiyo hali hupotea
Kwa passo naona nyingi zina hiyo shida sometimes hata ukiwasha tu gari hutetemeka mpaka unafikiri pengine inaogopa kuendeshwa ila ukianza tu mwendo hiyo hali hupotea
Ni ball joints na stabiliser links zimechoka ni za kubadili! Hilo si tatizo sana kwa kuwa ukiongeza mwendo over 100kph hiyo hali hupotea
Kwa passo naona nyingi zina hiyo shida sometimes hata ukiwasha tu gari hutetemeka mpaka unafikiri pengine inaogopa kuendeshwa ila ukianza tu mwendo hiyo hali hupotea
wana JF wataalamu, Ndugu Mashana Jr
jamani haya mambo ya kuingiza used cars kutoka nchi za nje kweli ni shughuli si ndogo. nitashukuru ndugu ufahamisho zaidi kuhusu haya yafuatayo
1. Ati handling charges ni tofauti na delivery order?? hizi zote bill nimeletewa na clearing agent. Sasa kama sio sawa, delivery order (DO) ni yakuhusu nini? na gharama zake kwa gari dogo ni kiasi gani? Pia handling charges huwa ni kiasi gani kwa gari dogo?
2. Ati storage charges huwa ni kiasi gani kwa siku? na huwaanza lini kutozwa tangu gari lifike bandarini? Lakini si pia huwa kuna grace period, ya bure hiyo huwa ni ya siku ngapi?
3. Ati kuna gharama za ukaguzi wa TBS??? aisee huu umeanza lini na ni gharama kiasi gani.
Shukran!
Nipo pote dagii Kiutaalam haishauriwi mwaga yote hiyo ya total weka hiyo mpya kwa vipimo vyake! Lakini kwanini imepungua kiasi hicho? Je kuna leakage? Ni hatari kwa uhai wa gearbox pata fundi haraka kabla hujafanya mwenyewe
Nawashukuru sana mshana jnr na ansah miles , rav4 shida yake space ndogo sana! Mbona kuna wengine wanadunda nazo sana hizo hizo harrier?
Hauna uwezo wa kumiliki BMW ndiyo maana inakusumbua unalazimisha tu, hiyo imeshachoka!