Mapondo Mapoka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 261
- 103
Nipe sababu mkuu za kuachana na Porte. Mm nahitaji kwaajili ya kutembelea tuKwa Porte achana nayo labda kama huna mizunguko mingi
Nipe sababu mkuu za kuachana na Porte. Mm nahitaji kwaajili ya kutembelea tuKwa Porte achana nayo labda kama huna mizunguko mingi
Kwakweli zinashindana ila IST ni kama imebamba zaidiHello, wadau naomba msaada wa mawazo maana mm sio mtaalamu wa magari Ila Kuna magari mawlili yamekuwa yakinivutia sana ambayo ni Raum pamoja na IST zenye cc 1490 ipi nzuri Kati izo mbili kwa maana ya ubora,upatikanaji wa vipuri kwa sababu mm ruti zangu nyingi ni za rough road ........nipeni msaada
Ipi inafaa zaidi kwenye rough road maana mm nipo sehem ambazo hakuna lamiKwakweli zinashindana ila IST ni kama imebamba zaidi
NasikilizaKumekuwa na mada nyingi kuhusu mambo yote yahusuyo magari, nikaona basi na sisi tuwe na Uzi huu ambapo habari zote zihusuzo magari kuanzia kuchagua, kuagiza, kuuza, kubadili nyaraka, matengenezo utunzaji na kadhalika.
Watu wengi wametapeliwa kwenye mauzo na manunuzi, kwenye nyaraka, kwenye vipuri kwenye matengenezo na hata matumizi.
Kwa Uzi huu basi kila mwenye ujuzi, uzoefu, ushauri au mwenye maswali na tatizo lolote linalohusiana na magari hapa ndio pawe uwanja wake
Karibuni sana
Ushauri: Jinsi ya kununua gari iliotumika ndani ya Tanzania
Tahadhari kali kwa nyote mlio na magari binafsi; chunga sana na waambie wengine!
USHAURI: Ununuaji wa magari...
View attachment 225786
Karibu Miss_MariaahNasikiliza
Mkuu Mshana Jr nipe uzi wa gar izi mbili nazipenda sana moja wapo nataka niinunue
Bmw 3 series Gt 2013 na Bmw 5 series Gt ya mwaka huo huo nichimbie uzi wa maana
asante mkuuBadili mtazamo wako kuhusu BMW
Ni aina ya gari inayoaangaliwa kwa jicho la tofauti sana... Likionekana ni gari ghali na la kifahari huku watu wakitishana sana kuhusu ughali wa vipuri na upatikanaji wake wa shida. Lakini nikwambie tu kitu kimoja hakuna gari imara kama BMW na ukiweza kufuata masharti ya kumiliki gari hutakaa...www.jamiiforums.com