Electric Drive
Senior Member
- Nov 2, 2016
- 113
- 87
Nimeconfirm UDOM lakini naona msg haijawa derivered.Nani alive experience hii issue anisaidie.
mkuu ile course ya ba in education special needs.inapokea hata watu wenye ulemavu? mimi nina dada yangu ni kiziwi ndo anataka aisome hiyo.Amestaafu yule.Alikuwa mtata sana
Utamjua tuSimjui huyo
mkuu nisaidie namba ya simu ya watu wa admission apo udom kwenye account yangu nimekuta amna matokeo ya form6basi taja namba ya olev nikuangalizie
Naona wana network problems ila tuma hata mara Tatu kwa namba zote mbili halafu usifute hizo txt for ur own evidenceNimeconfirm UDOM lakini naona msg haijawa derivered.Nani alive experience hii issue anisaidie.
Thanks,nine confirm kupitia account online ktk website imekubali.Naona wana network problems ila tuma hata mara Tatu kwa namba zote mbili halafu usifute hizo txt for ur own evidence
Ubarikiwe mno mkuu.Ada ni 1500000. Unalipa yote au 750000 per semester then ni four years pale
Umetumia cm au pc????Thanks,nine confirm kupitia account online ktk website imekubali.
Mbona nilipoingia hapo hakuna admission letter wala joining instructions ila ni maelekezo ya malipo ya ada na gharama za moja kwa moja kwa chuo.Mtafungua tar 28 mwezi huu hivyo jiandae .Kuhusu admission letter fungua www.udom.ac.tz halafu nenda kwenye matangazo then bonyeza important note to all students utapata unachohitaji
Sasa mkopo unasaidia vip hapo ikiwa wanataka walipwe kabla ya kuriport tena 25 OctMbona nilipoingia hapo hakuna admission letter wala joining instructions ila ni maelekezo ya malipo ya ada na gharama za moja kwa moja kwa chuo.