Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,198
- 6,416
- Thread starter
- #81
Sawawangu anakaa na mtoto tu..nampa 50 na namnunulia kila kitu hadi pedi.
napika mwenyewe nafua mwenyewe na kila kitu kilivhobakia
huho ni msaidiz usitake afanye kila kitu.anza kumpa kazi moja moja mpaka azoeee unamuongezea kias ila sio kila kitu