Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Kweli eeh ?Mambo mazuri hayataki haraka kijana
Kweli eeh ?Mambo mazuri hayataki haraka kijana
Zukisa sijui kapotelea wapi ana mshepu yule dada hatari.Kwa uzuri wa sura Lungi yuko yuko
kwa uzuri wa shape Phindile hayupo peke yake
Duuuu kitambo sana hadi nimemsahau. Zukisa ana shape moja la kibantu kama mdada fulani wa humu jf anajijua mwenyewe.Zukisa sijui kapotelea wapi ana mshepu yule dada hatari.
Sio kwamba kachoka. Maisha ya ustaa yanawataka kuwa hivo.Ila isid inaonyesha wapo vizuri
Mnakumbuka enzi za katlego akiwa mjengoni alikuwa anajichetua na kale kashepu kila siku anawaka na ule muondoko sasa
Ila kuna siku nimemuona ana act kwenye scandal yani kachoka sio yule Wa zamani
Mmm hata mavazi,nywele kwani zile Nguo wanavaaga zao au nyingine huwa wanatangazaSio kwamba kachoka. Maisha ya ustaa yanawataka kuwa hivo.
Anything is possible my dearMmm hata mavazi,nywele kwani zile Nguo wanavaaga zao au nyingine huwa wanatangaza
Marudio saa 3 na nusu asubuhi juma 3 hadi ijumaahivi isidingo hainaga marudio mchana au asubuh, maana saa moja na nusu usiku wengine hatuwez kuangalia tv
Marudio saa 3 na nusu asubuhi juma 3 hadi ijumaahivi isidingo hainaga marudio mchana au asubuh, maana saa moja na nusu usiku wengine hatuwez kuangalia tv
Kwanini mkuu?Hii kitu ilinishinda kuangalia zaidi ya dakika 10
sitakii dada wewe saivi phindile ndo wife material lungi kashanitibua nyongoo.. 😂😂We nawe ndumilakuwili Mara lungi Mara phind
Baki Kwa lungi wako asiyejua hata kuchemsha chai
mkuu mbona mnaongelea mke wangu zukisa??Duuuu kitambo sana hadi nimemsahau. Zukisa ana shape moja la kibantu kama mdada fulani wa humu jf anajijua mwenyewe.
mie phindile lazima niende nae haraka haraka wajanja wasije nizidi lungi hafai tena 😂😂😂Mambo mazuri hayataki haraka kijana