Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,342
- 13,067
Pole aisee. Mie nafuatilia Youtube
Duuuh! Mkuu umetupeleka mbele sana. Wengi tunafuatilia ya ITV.
Duuuh! Mkuu umetupeleka mbele sana. Wengi tunafuatilia ya ITV.
Huwa na-enjoy pastor Gabriel akikutana na Sechaba au jinsi anavyomwogopa Ben...Ndio raha ya Isidingo,mie kuna muda huwa naacha kidogo kuangalia kama story ya wakati haijanivutia na baadaye naendelea. Kuna muda isidingo kama ilipoa fulani hivi basi akarudishwa Pastor alikuwa hayupo pale HD,basi ilikuwa balaa.
Yule bonge la snitch analianzishaga halafu anatulia kama hajui loloteHuwa na-enjoy pastor Gabriel akikutana na Sechaba au jinsi anavyomwogopa Ben...
Mm siwezi kwnda kule sjazoea shidaUkipata fursa ya kwenda huko, nenda haraka. Usiogope kukimbizwa juani.
Lakini maisha ni shida na rahaMm siwezi kwnda kule sjazoea shida
Sibiya njia zake nina wasiwasi zitakuja kumcost vibaya..Benj boy Jana wamemtia adabu akichomoka hapo sijui atamrudisha sibiya kazin
Yah ni full kupambanaLakini maisha ni shida na raha
Amemsapoti Ben akijua atakachokifanya ndio kitakuwa anguko lakeLincoln ni akili kubwa!
Mzee yuko 'smart' Sana na ana mahesabu makali.Amemsapoti Ben akijua atakachokifanya ndio kitakuwa anguko lake
Yaani sikuwa nimegundua anachokiwaza hadi aliposema janaLincoln ni akili kubwa!
Tusaidie briefly nimeikosa Leo jamaniSibiya na genge lake wamefanya kosa kubwa kuteka polisi lazima itawagharimu.
Naunga mkono hojaIla naona Isidingo kuna matukio yanayoendelea sasa yanakosa uhalisia,tokea kuanza kwa Sibiya kuvamia ofisini kwa Ben na matukio ya jana naona kama kuna uhalisia umekosekana.
Movies hainaga uhalisia mkuuNaunga mkono hoja
Sio uhalisia kabisa lakini walau iwe na ukweli kidogo wanataka kutuletea habari za Jamai rajaMovies hainaga uhalisia mkuu