MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,230
- 14,191
Masikini Lincoln......ukiwa masikini shida tupu, ukiwa tajiri sana nayo majanga pia.
..........................................................
Sema huyu mzee ana hekima sana.
Masikini Lincoln......ukiwa masikini shida tupu, ukiwa tajiri sana nayo majanga pia.
..........................................................
Hana hekima yoyote, huyu mzee ni mafia.Sema huyu mzee ana hekima sana.
iliendeleaJamani vp jana isidingo iliendelea au itv walirudia?
Hata mimi nimehisiHatimaye marius anaanza kutenge eza mazingira ya kumpata tena lalage.
Katafute you tubePlease mwenye seasons za isidingo naomba kuanzia 2018 mwezi wa 6
Hii yote ni plan ya mtu mmoja hiviMasikini Silas, Masikini Lincoln?...😔😔😔...kutekwa kubaya sana...
aliokolewa, na kwa sisi tulioona episode ya mwisho ya isidingo ni kuwa, lincoln atapigwa risasi Sebuleni kwake, na mwanamke asiyejulikana, huyo mwanamke akiondoka, lincoln linafumbua macho utasema kafufuka, hapo ndio inaishia, isidingo ina kama mwezi mmoja iisheHivi lincoln alifariki ama alifanikiwa kuokolewa like alikotekwa??
Dah kmk ndo wanakatisha hapo ndo mwisho? Huyo aliyempiga sio Claudette kweli?aliokolewa, na kwa sisi tulioona episode ya mwisho ya isidingo ni kuwa, lincoln atapigwa risasi Sebuleni kwake, na mwanamke asiyejulikana, huyo mwanamke akiondoka, lincoln linafumbua macho utasema kafufuka, hapo ndio inaishia, isidingo ina kama mwezi mmoja iishe
sio claudette kwasababu claudette atasikia kama kuna mtu kapiga risasi atakimbia kwenda huko sebuleni aliko pigwa risasi, ila kabla hajafika, tunaoneshwa lincoln anazinduka, hiyo ndio scene ya mwisho ya isidingo, isubiri uoneDah kmk ndo wanakatisha hapo ndo mwisho? Huyo aliyempiga sio Claudette kweli?
Kinoma aseee sema ishabaki historyNimewamis sana kina Sechaba pamoja na Nina Zamdela
Ameolewa na ana mtoto mmoja na mumewehaka kaolivia kazuri sana