Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,773
- 3,160
Phindile ashaingia choo cha kilokole kwa ntando
phindile atapewa kazi mkuu as shift boss iloachwa na HendrickPhindile ashaingia choo cha kilokole kwa ntando
tafadhali mkuu sechaba kanichinjia phindile wangu dah 😢😢😢Sech Kwa hilo toto hachomoki,Leo ilikwendaje
Nataka tu share mkuumkuu mbona mnaongelea mke wangu zukisa??
mnatakia nini me nimetolea mahari pale ujue.??
hapana mkuu.. zukisa me nimemuoa. nimekuachia lungi simtaki tena mchepuko wangu ni phindile kwa sasa.Nataka tu share mkuu
Lungi mtoto wa mjinihapana mkuu.. zukisa me nimemuoa. nimekuachia lungi simtaki tena mchepuko wangu ni phindile kwa sasa.
aaah ana mikogo Sana hadi keroo..Lungi mtoto wa mjini
inabd kumtafutia msaidizi
Basi mmoja amchukue wendyhapana mkuu.. zukisa me nimemuoa. nimekuachia lungi simtaki tena mchepuko wangu ni phindile kwa sasa.
Wendy mbibi yuleBasi mmoja amchukue wendy
Aliponamzee sebeko alipona macho baada ya kurogwa na yule witch doctor?
Zukisa sijui kapotelea wapi ana mshepu yule dada hatari.
Ni kweli kuna watu kibao wametoka na wanazidi kuongeza watu wapya tu,ila hata mie kuna muda naachaga kuangalia huwa hainivutii kama kuna kipindi ilipooza hadi pale aliporudi Gabriel.Walipoanza kutoka toka tuu hawa raia ndo wakanfanya nisione uhondo wa Isidingo
mala sjui wendy mala Yule mzungu na familia yake daaaa najiona mpya asee
akaa labda amchukue Diaspora Jay. me phindile na zukisa wananitosha Jay ana lungi tuu.. aongeze na bibi Wendy 😂😂😂😂Basi mmoja amchukue wendy
hujamuona relato na mamake na yule secretary wa ntando 😂😂😂😂isidingo nampenda Morongwa , ile pisi ina tako moja matata sana
Aliponamzee sebeko alipona macho baada ya kurogwa na yule witch doctor?