popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,608
Moja ya kazi zangu,
Anaehitaji picha bora za kuchora tuwasilianeView attachment 1370615
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyu mchoraji mbona anachora wanawake tu? Au ndo wateja wakubwa kwakeTanzania kuna watu wana mabalaa yao kwenye sanaa ya uchoraji. Huyu jamaa ni mtu mwingine kwenye uchoraji. Heko kwako Obed. View attachment 1117240View attachment 1117241View attachment 1117242View attachment 1117243View attachment 1117244View attachment 1117245View attachment 1117246View attachment 1117247View attachment 1117248View attachment 1117249View attachment 1117251View attachment 1117253View attachment 1117254View attachment 1117255View attachment 1117256
Kuchora wanawake ni rahisi kuliko wanaume?Uyu mchoraji mbona anachora wanawake tu? Au ndo wateja wakubwa kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyu mchoraji mbona anachora wanawake tu? Au ndo wateja wakubwa kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuchora wanawake ni rahisi kuliko wanaume?
Hapana mkuu!
Kuchora mwanamke ni ngumu,
Sura yoyote mbaya itakua ya kiume tu.
Mm ni mchoraji
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijambo sana za siku?
Nipo mtu wangu hebu baadae nikutafute basi.
Majukumu mengi sana, nilikuwa Dodoma juzi tu hapa nikija huko nakutafuta.
Majukumu mengi sana, nilikuwa Dodoma juzi tu hapa nikija huko nakutafuta.
Dah all the blessings to the creatorGod gifted talent, huyu ni Swap a Augustine na mwenzake wanachora kwa kutumia mguu
View attachment 1057693View attachment 1057694
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uko wapi wewe!?