popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,608
Nyerere hana nyusi za hivyo aseeM.D Mazzuki
Hapa nilikuta anamalizia project ya kutengeneza sanamu ya NyerereView attachment 1097589View attachment 1097590
Nyerere hana nyusi za hivyo aseeM.D Mazzuki
Hapa nilikuta anamalizia project ya kutengeneza sanamu ya NyerereView attachment 1097589View attachment 1097590
Nzuri aiseee,M.D Mazzuki
Hapa nilikuta anamalizia project ya kutengeneza sanamu ya NyerereView attachment 1097589View attachment 1097590
Hapana anatumia udongo fulani unaonata nadhani mfinyanziNzuri aiseee,
Na ni sanamu ya mbao?
Hapana anatumia udongo fulani unaonata nadhani mfinyanzi
Hahaa haaa aah daah Aisee 😀
90 year old artistView attachment 1106874
Msaada Mimi unaweza kuchora picha z kubuni kichwani lakini sio kwa ustadi mzuri
Sijajua hatua gani upitie ili kuchora kwa usahihi kama wasanii wa picha wafanyavyo namba kupata maelekezo.
Katiaka vitu nilivyozaliwa navyo ni kupenda kuchora zamani nilikuwa naangalia magazeti kisha nabuni michoro kutokana na picha nilizoziona katika magazeti sasa namba maelekezo kwa wataalamu ni vipi nitaweza kuchora picha za vitu mbalimbali kwa kuangalia picha nyingine hii inanishinda sana naombeni muongozo wa kuwa mchoraji aliebobea na hatua au njia gani nipitie kufiaka mlipofika.
ASANTE.
Kuna mtu atakataaImechorwa hio sio cameraView attachment 1107195
Anauzaje hizo picha? Na mawasiliano plizHapana anatumia udongo fulani unaonata nadhani mfinyanzi
Anauzaje hizo picha? Na mawasiliano pliz
Hatumi I wasap? . Sawa Nitumie pm namba yakeKwa wakati ule nilichukua 50,000tsh @ ukihitaji nitakupa namba ya simu maana yeye hayupo kwenye mitandao
0782870780 hatumii wasap ni mzee hana mda mambo hayo,ukifanikiwa nipe mrejeshoHatumi I wasap? . Sawa Nitumie pm namba yake
Sasa mimi Nipo Arusha nilikuwa nataka za biashara sasa ntachagua vip0782870780 hatumii wasap ni mzee hana mda mambo hayo,ukifanikiwa nipe mrejesho
Jaribu kumpigia uongee nae,na umueleze una shida ya kuona sample,ana vijana ambao wanaweza kumsaidia kukutumia maana kila picha anayochora hua lazima apige picha kwa kamera kwa ajili kumbukumbuSasa mimi Nipo Arusha nilikuwa nataka za biashara sasa ntachagua vip
Nzega taboraKuna madarsa ya uchoraji..!
Sa wewe upo mkoa gani?
Dsm nafahamu