popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,607
Nimekuuliza hiviAnataka sketching sio painting ndomaana haamini
Wewe ni mchoraji?
Nataka tuongee kichoraji siyo kitazamaji,
Nimekuuliza hiviAnataka sketching sio painting ndomaana haamini
Rudia kusoma niliyoandika,lkn km unataka sifa za kubishana na kujitutumua haya tutumka tu broAnataka sketching sio painting ndomaana haamini
MI SIO MCHORAJI ILA KAMA UNABISHA NTAKULETEA VIDEO ZA MTU AKICHORA HADI KUMALIZA MCHORONimekuuliza hivi
Wewe ni mchoraji?
Nataka tuongee kichoraji siyo kitazamaji,
Mchoraji hawezi kuongea maneno hayo kama mtu asiye na kipaji cha Uchoraji ......
Ina maana hujawahi kuona Youtube au Facebook artist wakubwa wakichora live picha za Kalamu ya Wino, Penseli au Rangi?
Hujawahi kuona still pictures za artist zikionyesha steps by steps alivyoanza kuchora mpaka kumaliza?
Hiyo picha hapo juu ya Mchekeshaji Black America inaonyesha hata kukamilika bado, unaona upande mmoja wa jicho haujakamilika.....inaonyesha kazi inaendelea.....
Unapozungumza ku edit unazungumzia nini? Kuchora kupitia Computer program ama?
I'm fine art painting artist pia, sio tu nauza kazi zangu nje mpaka sasa but nimekaa nje nikichora na kushikiriki exhibitions tofauti!
Trip moja nilipeleka kazi kuuza nje, ilikua Capetown kuna sehemu inaitwa Sea view, nilimkuta Nigerian artist anawachora watu kwa Penseli vile vile, just for 10 mins kamaliza, watu wamepanga foleni, japo ni artist nilikubari kuwa jamaa uwezo wake ulikua juu.
Mkuu usishangae artist akifanya kitu kile huwezi fanya ukasema sio kazi ya mkono na Penseli, tumetofautiana Vipaji .
Nini unachodhani nabisha,MI SIO MCHORAJI ILA KAMA UNABISHA NTAKULETEA VIDEO ZA MTU AKICHORA HADI KUMALIZA MCHORO
HAYA...Nini unachodhani nabisha,
Narudia kusema siyo kila picha unayoiona ni ya mkono mtupu,picha nyingi sana huwa zinaeditiwa,
Kinachofanya ukatae ni ile tabia ya kitanzania ya kutaka kuonesha ujuaji siyo usahihi,maana unaongea utadhani nilichosema ni PICHA ZOTE HIZI NI EDIT,
Kuniuliza km sijawahi ona MTU anachora hatua kwa hatua ni kunitukana maana wewe uliina ila mimi huwa nafanya,
Kuna jamaa yangu ni bingwa wa kuchora picha za vinyago(tingatinga)nk lkn ukimpa picha hata ya paka anashindwa,lkn na yy huwa anapeleka sana nje kazi yake ya kuchora picha za vinyago,kumbe kwenda kuonesha kazi nje siyo kujua usahihi wa kuchora picha halisi,Mchoraji hawezi kuongea maneno hayo kama mtu asiye na kipaji cha Uchoraji ......
Ina maana hujawahi kuona Youtube au Facebook artist wakubwa wakichora live picha za Kalamu ya Wino, Penseli au Rangi?
Hujawahi kuona still pictures za artist zikionyesha steps by steps alivyoanza kuchora mpaka kumaliza?
Hiyo picha hapo juu ya Mchekeshaji Black America inaonyesha hata kukamilika bado, unaona upande mmoja wa jicho haujakamilika.....inaonyesha kazi inaendelea.....
Unapozungumza ku edit unazungumzia nini? Kuchora kupitia Computer program ama?
I'm fine art painting artist pia, sio tu nauza kazi zangu nje mpaka sasa but nimekaa nje nikichora na kushikiriki exhibitions tofauti!
Trip moja nilipeleka kazi kuuza nje, ilikua Capetown kuna sehemu inaitwa Sea view, nilimkuta Nigerian artist anawachora watu kwa Penseli vile vile, just for 10 mins kamaliza, watu wamepanga foleni, japo ni artist nilikubari kuwa jamaa uwezo wake ulikua juu.
Mkuu usishangae artist akifanya kitu kile huwezi fanya ukasema sio kazi ya mkono na Penseli, tumetofautiana Vipaji .
Kuna jamaa yangu ni bingwa wa kuchora picha za vinyago(tingatinga)nk lkn ukimpa picha hata ya paka anashindwa,lkn na yy huwa anapeleka sana nje kazi yake ya kuchora picha za vinyago,kumbe kwenda kuonesha kazi nje siyo kujua usahihi wa kuchora picha halisi,
Kuna kuchora picha za taswila halisi,na kuna kuchora picha za vinyago yaani image isiyo halisi(tingatinga,katuni nk),Da mkuu umenichekesha sana eti hata paka hawezi kuchora
Nimekuelewa mkuuKuna kuchora picha za taswila halisi,na kuna kuchora picha za vinyago yaani image isiyo halisi(tingatinga,katuni nk),
Halafu kuna kuchora maumbo ya kufikilika ya vitu ambayo hunakshiwa kwa rangi,na kuna kuchora mandhali,
Wapo watu wanachora maumbo tu na kuyapaka rangi nao wanauza nje na wanajiita wachoraji,
Wapo wengine wana nunua picha za wasanii chini na kuzipeleka nje lkn hata kikombe hawezi chora na anaweza jidai anajua sanaa,
Lkn yote haya hayana faida km hatutaonesha kazi tunazofanya na kufundisha/kufundishwa hatua ili wengine wajifunze ama kuhamasika,
Nawasifu sana wachoraji wa kitanzania wa mtaani maana wanachora kwa kutumia kalamu za kawaida kabisa,canvas na undercoat za kawaida kabisa,kwa hali ya kawaida na zinakuwa bomba sana,sana,
Ndo maana kuna wazungu wanatoka huko huko waliko hao mnaodhani wachoraji wakubwa na wanakuja kununua ama kuchorewa picha mbagala
Mkono huo unechorwa moja kwa mojani kwa ajili ya maonesho tu au moja kwa moja mkuu?
Hata sijui Nani amechora mm nimeikuta mahalini kwa ajili ya maonesho tu au moja kwa moja mkuu?
Hata sijui Nani amechora mm nimeikuta mahali
Wachoraji kama wanaprintView attachment 1090988
Unaposema picha za ku edit unazungumza kuhusu nini?Kwa hiyo haya yooote umeongea ili kupinga kuwa hakuna picha za kuedit siyo,
Haya tufanye hakuna picha za kbumba kwa apps nk,halafu tuone itawasaidia nini watoto zetu wanaotamani kuinua vipaji vyao,
Tufanye mm sina kipaji cha uchoraji ndo maana nasema si kila picha inayoletwa humu ni halisi,