Gentleman96
JF-Expert Member
- Mar 12, 2019
- 912
- 1,666
- Thread starter
- #601
Duh!
Rangi ya ngozi ya mtoto!
Kama picha au macho halisi
Rangi ya ngozi ya mtoto!
Kama picha au macho halisi
Ile ni balaaaaWetu tunae pia kachonga sanamu la baba wa taifa chato
Saaaafi
nilikuwa mchoraji hadi kufikia darasa la nne, nikaacha naweza kurudi tena kwenye sanaa hii.
Rudi mkuu
ushauri napitia njia gani nireboot akili haraka ili kipaji kilichozama kiibuliwe na kuniletea tija maishani?
nimejaribu kutafuta wadau nimekoswa. natamani iwe kama hobby kama wengine wanavyojipumzisha kwa kuangalia soka.
Naanza mimi Mkuu,lete fursaWatu wanaaribu maana ya uzi kuleta picha za watu wengine na sio zao,, sijaona mchoraji hata mmoja kaonyesha kazi yake humu,, ndio maana watz fursa nyingi zinatupita kushoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Naanza mimi Mkuu,lete fursaView attachment 1190843
Yeah! naelekea elekea Mkuu?Mo sarah
Yupo vizuriNjoo @dominicmalisawa pale insta View attachment 1285942