Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,152
- 15,604
Hapana sijawahi mkuu,shida uandaaji wake huwa naufikiria maana unakuta mtu ana michupa mitatu mixer kifuko cha vikombe vyote kashika yeye akiitwa anaweka chupa chini anashika vikombe vyote kwa mikono,humo barabarani akikutana na mtu wanayefahamiana ataweka chupa chini kisha watapeana mikono sasa najiuliza anajua kabisa anawauzia watu chakula kuwaje ashikane shikane mikono hovyo na watu?Ushawai kutumia mkuu ?
Kama mtu katoka kufanya haja zake huko usalama wa mlaji uko wapi?muuzaji mwenyewe naye unakuta kanzu chafu chini kavaa sandals chafu chafu alimradi vurugu nikiangalia hivi naona bora hata nisionje,ila kusema inaongeza sijui nguvu...wala usiamini,ni uwongo maybe kwa sababu sijawi kutumia ila ukweli ni huo.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk