Tahadhari na kinywaji cha Al-Kasusu

drilling

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
4,664
4,764
Napenda niwaombe Watanzania kinywaji cha al kasusi ni hatari kwa afya yako hasa upande wa high blood pressure. Al kasus hii sio hiyo wanayoitumia Waarabu, ladha tofauti kabisa.

Wauzaji wa al-kasus wamejificha kwenye kuvaa kanzu ili unapomuona kavaa kanzu una uhakika na imani na unachokunywa, kumbe tofauti kabisa.

Vitu wanavyochanganya Mungu anajua. Wanaweka maziwa kuongeza harufu nzuri na ladha.

Al kasusi Waarabu wanaitengeneza bila maziwa na bila kahawa yenyewe kama yenyewe na nilikuwa nakunywa sana Dubai.

Hapa Tanzania nimejaribu kunywa jana matokeo yake nikajiona siyo kawaida nikachukua mashine ya kupima presha nikakuta inasoma sys 185/110.

Jihadharini. Kuna baadhi ya watu nimewauliza wanasema wanahisi wanachanganya na unga wa viagra ili kupata wateja. Viagra imeua watu wengi sana na wengine ni wagonjwa wa moyo.
 
Kuna mmoja nilimuuliza akaishia kuniambia “wewe kaffir unajua nini wewe?” na mimi kwa hasira nikawahamasisha wale waliomwita, {ni jamaa zangu} wafikirie kuhusu afya zao kwanza hizo chai sijui kasusu wanazokunywa wanajua zinavyoandaliwa? Pia, ushikaji wa tule tukombe twake muuzaji anavishika shika kila wakati huku maji ya kunawa mikono yake hana wanauchukuliaje?

Hakuna hata mmoja aliyenunua zaidi walimwambia aondoke, nakumbuka jamaa alinipiga jicho moja matata nami nikamwambia akajifunze usafi.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Na mimi niliwahi kuuliza lakini sikupata jibu la maana kwanza waliniambia kinywaji chenyewe kinatokana na mti unaitwa Kasusu mara nyingi unapatikana kondoa ila wameongeza jina la alkasusu ili lionekane kama la kiarabu labda ndio maana wanavaa kanzu waonekane kama ni waarabu ila mti wa mkasusu unaongezwa na vitu vingine kama maziwa karafuu na iliki.
 
Weka picha ya muuza al kasusu tuone
Hiyo
2197954_AL_KASUSU.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiinywa unakuwaje? unaongeza nguvu za kiume au
Longolongo tu,nguvu za kiume ni jinsi unavyoi-tune akili yako.ukihisi kushindwa utashindwa kweli ukihisi kushinda utashinda kweli hao wanawauzia watu maji tu ni vile wabongo kuamini kila kitu ni dawa na kila kitu ni maradhi ndo maana wanawapiga changa huku wakijiona.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Longolongo tu, nguvu za kiume ni jinsi unavyoi-tune akili yako.ukihisi kushindwa utashindwa kweli ukihisi kushinda utashinda kweli hao wanawauzia maji tu ni vile wabongo kuamini kila kitu ni dawa na kila kitu ni maradhi ndo maana wanawapiga changa huku wakijiona.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk

🤝🤝


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Longolongo tu, nguvu za kiume ni jinsi unavyoi-tune akili yako.ukihisi kushindwa utashindwa kweli ukihisi kushinda utashinda kweli hao wanawauzia maji tu ni vile wabongo kuamini kila kitu ni dawa na kila kitu ni maradhi ndo maana wanawapiga changa huku wakijiona.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Ushawai kutumia mkuu?
 
Aisee hilo swali na mimi jana nimemuuliza jamaa yangu anaipenda sana hiyo kitu, tena kanzu nyeupe!, jibu alilonipa halikuniridhisha bado natafuta majibu zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah daah ulimpa adhabu mujarabu mkuu.
Kuna mmoja nilimuuliza akaishia kuniambia “wewe kaffir unajua nini wewe?” na mimi kwa hasira nikawahamasisha wale waliomwita,{ni jamaa zangu} wafikirie kuhusu afya zao kwanza hizo chai sijui kasusu wanazokunywa wanajua zinavyoandaliwa? Pia, ushikaji wa tule tukombe twake muuzaji anavishika shika kila wakati huku maji ya kunawa mikono yake hana wanauchukuliaje?

Hakuna hata mmoja aliyenunua zaidi walimwambia aondoke nakumbuka jamaa aliniga jicho moja matata nami nikamwambia akajifunze usafi.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk

dodge
 
Back
Top Bottom