Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,468
- 2,349

Akiwa Mwanza Tanzania katika miaka ya mwanzoni ya 2000 Mad Ice alitamba kwa wimbo wake wa Babygal.. kabla ya kuhamia DSM na mwishoe kuweka maskani ya kudumu nchini Finland.
[media]http://www.youtube.com/watch?v=qGSLOEv-pDY[/media]
Last edited: