Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Macvoice huyu dogo ni talent sana anajua kuandika mashahiri vizuri, Melody ndo hatari kabisa
Huyu dogo na EP yake ya My Voice itafanya vizuri Rayvanny kajitoa sana kumtoa kijana yaani unaona dhamira ya kweli ya kumsign Msanii
Sio unamsign msanii then unamuacha hewani
Tumpe dogo support anajua sana then ana nidhamu sio kama ibra hata uwezo wa kumiliki baiskel hana ila kutwa kutafuta kik
MACVOICE EP yake ya VOICE ni ya Moto sana
Nenda
Huyu dogo na EP yake ya My Voice itafanya vizuri Rayvanny kajitoa sana kumtoa kijana yaani unaona dhamira ya kweli ya kumsign Msanii
Sio unamsign msanii then unamuacha hewani
Tumpe dogo support anajua sana then ana nidhamu sio kama ibra hata uwezo wa kumiliki baiskel hana ila kutwa kutafuta kik
MACVOICE EP yake ya VOICE ni ya Moto sana
Nenda