Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,206
- 9,509
Wadau,
Katika picha hapo kwa uangalifu wangu kwa macho tu nikitizama paa limepinda na pia bati za paa kubwa zipo sawa kiaina lakini paa dogo bati zimepangwa kama slash pattern zake, nadhani Contractor hana umakini jengo la zamani hilo la Muitaliano wa Slipway aliyeliuza kwa Computer Centre.
Mwanzoni lilikuwa ni vigae vilivyopangwa vizuri na kupendeza ila now am sure litachekesha katika majengo ya city center kwa Wataalam na wajuzi wa kujenga tupeni utaalam wenu ila kwa upande wangu hao wajenzi sitowalipa hata senti.
Katika picha hapo kwa uangalifu wangu kwa macho tu nikitizama paa limepinda na pia bati za paa kubwa zipo sawa kiaina lakini paa dogo bati zimepangwa kama slash pattern zake, nadhani Contractor hana umakini jengo la zamani hilo la Muitaliano wa Slipway aliyeliuza kwa Computer Centre.
Mwanzoni lilikuwa ni vigae vilivyopangwa vizuri na kupendeza ila now am sure litachekesha katika majengo ya city center kwa Wataalam na wajuzi wa kujenga tupeni utaalam wenu ila kwa upande wangu hao wajenzi sitowalipa hata senti.