Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
MIAKA 20 NAKUMBUKA KAULI TASA YA BABA WA TAIFA JUU YA MHE KIKWETE; "TUMUACHE BADO AKUE KIDOGO"
Huko nyuma, nilivyokuwa mtoto nilidanganyika sana eti mtu ukianguka basi utakuja kuokota hela sehemu ulikoangukia lakini leo nimegundua pindi utakaporudi tu pale ulipoangukia kwa mapema kidogo sana sana unachoweza kukiokota ni kipande cha ngozi ya mwili wako kilichoanza kuoza tayari.
Ukweli huu nauona hata sasa katika siasa ya nchi yetu ya Tanzania na kwa masikitiko makubwa sana!! Ila tu kinachonifariji ni hali tulionayo kama taifa iliotekwa na jopo la MAFISADI kwa kila idara ya maisha yetu kweli ni NGUMU SANA KULISEMEA BASI lakini kwa pamoja na uwezo wa Mwenyezi Mungu INAWEZEKANA KABISA KUAGANA NALO MILELE!!!
Mwanzoni kabisa huko nyuma 2005 nilidanganyika nikidhania atamranda Julius Kambarage Nyerere nikampa kura zote na kuwashawishi wenzangu zaidi ya 50 kufanya hivyo kumbe hovyo kabisa!!
Hata pale 1995 aliposhindwa na Ndg Benjamin Mkapa mwenzenu nilimkasirika na kusononeka sana lakini kwa kuwa ilikua ni Baba wa taifa Mwalimu Nyerere basi ikabidi nibaki tu kugugumiagugumia bila njia nyingine.
Baada ya miaka hii zaidi ya 20 NAKUMBUKA MANENO YA Mwl Nyerere na kujikuta nikijitukana kila siku ndani kwangu na wala hasira hazipungui.
UFISADI niliubariki mwenyewe kwa kura yangu 2005 lakini kwa 2010 nimelazimishwa tu kwa ujanja wa UCHAKACHUAJI - kwanini lakini???
Si kipindi kirefu nitajitokeza hadharani kwenda kuwaomba radhi wale Watanzania wenzangu niliowashawishi KUFADHILI HUU UFISADI.
Mzee Mkapa nakuomba sana radhi leo hii; sikuwahi kukupenda kuingia kwako uongozinini kama asingelikua Mwalimu Nyerere.
Namuomba Mama Maria radhi kwa niaba ya Marehemu Mwalimu Nyerere kwamba kama vijana wadogo sana wa taifa hili ujumbe katika lugha yake ya Ki-Staha zaidi ulikua mzito mno masikioni mwetu ila leo tunaloona ni ule usemi wa 'Majuto ni Mjukuu' Baba wa Taifa.
Naomba pia radhi watu waliokuona unafaa badala ya Mhe Kikwete!! Masikini kumbe mzee wa watu alikua anajua watoto wake wote na tabia zao ndani ya cha cha mapinduzi. Loooooo!!!!!!!!!!!!!
Nasema nitawaomba radhi mbele ya hadhara tena bila ya aibu kwa kura zao nilizipotezesha mimi.
Mwalimu Nyerere kusema "TUMUACHE BADO AKUWE KIDOGO" kumbe mzee wetu alitufunika ujumbe zito ajabu hivi!!!!!!!!!!!!
Hivi sasa kama taifa ndio tunaelekezwa wapi na kulazimishwa kulipa mafisadi wasiojulika hata kwa mmoja wetu! Kwa ujanja ujanja huu Watanzania tumeshapoteza kwakiwango gani mikononi mwa viongozi wabadhirifu na kutaendelea nao kupoteza hadi lini???
Jamani kumbe acheni wale wanaovaa mi-bomu wakati mwingine wavae na kuteketeza ukoo wote wa mafisadi na unyama wao wote kwa jamii yatu, ka!! Kumbe usimkemee mvaa bomu kabla haujasikia machungu yako moyoni!!!!
HOJA YANGU:
Ndani ya CCM kama bado kumebaki mtu anayefikiria kuwa ni mtetezi wa maslahi ya taifa hili basi MJIUZULU MARA MOJA PINDI TU ITHIBITISHWAPO kwamba kweli Dowans na Mafisadi wengine wanalipwa.
Mrudi majimboni na kutuuiliza cha kusema katika vikao vyenu na kule bungeni hapo Mwezi Februari. Mbunge yeyote atakayekiuka agizo hili la 'Nguvu ya Umma' asije lalamika baadaye!!
Huko nyuma, nilivyokuwa mtoto nilidanganyika sana eti mtu ukianguka basi utakuja kuokota hela sehemu ulikoangukia lakini leo nimegundua pindi utakaporudi tu pale ulipoangukia kwa mapema kidogo sana sana unachoweza kukiokota ni kipande cha ngozi ya mwili wako kilichoanza kuoza tayari.
Ukweli huu nauona hata sasa katika siasa ya nchi yetu ya Tanzania na kwa masikitiko makubwa sana!! Ila tu kinachonifariji ni hali tulionayo kama taifa iliotekwa na jopo la MAFISADI kwa kila idara ya maisha yetu kweli ni NGUMU SANA KULISEMEA BASI lakini kwa pamoja na uwezo wa Mwenyezi Mungu INAWEZEKANA KABISA KUAGANA NALO MILELE!!!
Mwanzoni kabisa huko nyuma 2005 nilidanganyika nikidhania atamranda Julius Kambarage Nyerere nikampa kura zote na kuwashawishi wenzangu zaidi ya 50 kufanya hivyo kumbe hovyo kabisa!!
Hata pale 1995 aliposhindwa na Ndg Benjamin Mkapa mwenzenu nilimkasirika na kusononeka sana lakini kwa kuwa ilikua ni Baba wa taifa Mwalimu Nyerere basi ikabidi nibaki tu kugugumiagugumia bila njia nyingine.
Baada ya miaka hii zaidi ya 20 NAKUMBUKA MANENO YA Mwl Nyerere na kujikuta nikijitukana kila siku ndani kwangu na wala hasira hazipungui.
UFISADI niliubariki mwenyewe kwa kura yangu 2005 lakini kwa 2010 nimelazimishwa tu kwa ujanja wa UCHAKACHUAJI - kwanini lakini???
Si kipindi kirefu nitajitokeza hadharani kwenda kuwaomba radhi wale Watanzania wenzangu niliowashawishi KUFADHILI HUU UFISADI.
Mzee Mkapa nakuomba sana radhi leo hii; sikuwahi kukupenda kuingia kwako uongozinini kama asingelikua Mwalimu Nyerere.
Namuomba Mama Maria radhi kwa niaba ya Marehemu Mwalimu Nyerere kwamba kama vijana wadogo sana wa taifa hili ujumbe katika lugha yake ya Ki-Staha zaidi ulikua mzito mno masikioni mwetu ila leo tunaloona ni ule usemi wa 'Majuto ni Mjukuu' Baba wa Taifa.
Naomba pia radhi watu waliokuona unafaa badala ya Mhe Kikwete!! Masikini kumbe mzee wa watu alikua anajua watoto wake wote na tabia zao ndani ya cha cha mapinduzi. Loooooo!!!!!!!!!!!!!
Nasema nitawaomba radhi mbele ya hadhara tena bila ya aibu kwa kura zao nilizipotezesha mimi.
Mwalimu Nyerere kusema "TUMUACHE BADO AKUWE KIDOGO" kumbe mzee wetu alitufunika ujumbe zito ajabu hivi!!!!!!!!!!!!
Hivi sasa kama taifa ndio tunaelekezwa wapi na kulazimishwa kulipa mafisadi wasiojulika hata kwa mmoja wetu! Kwa ujanja ujanja huu Watanzania tumeshapoteza kwakiwango gani mikononi mwa viongozi wabadhirifu na kutaendelea nao kupoteza hadi lini???
Jamani kumbe acheni wale wanaovaa mi-bomu wakati mwingine wavae na kuteketeza ukoo wote wa mafisadi na unyama wao wote kwa jamii yatu, ka!! Kumbe usimkemee mvaa bomu kabla haujasikia machungu yako moyoni!!!!
HOJA YANGU:
Ndani ya CCM kama bado kumebaki mtu anayefikiria kuwa ni mtetezi wa maslahi ya taifa hili basi MJIUZULU MARA MOJA PINDI TU ITHIBITISHWAPO kwamba kweli Dowans na Mafisadi wengine wanalipwa.
Mrudi majimboni na kutuuiliza cha kusema katika vikao vyenu na kule bungeni hapo Mwezi Februari. Mbunge yeyote atakayekiuka agizo hili la 'Nguvu ya Umma' asije lalamika baadaye!!