Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,395
- 3,897
Serikali ya CCM imepoteza dira na mwelekeo inaelekea shimoni inaenda kuanguka na anguko lake ni kubwa sana imepoteza mvuto inawatia hofu Watanzania masikini.
Walianza na hofu ya internet, kwa maana ya Bando watu walichachamaa sana wakabadili gia angani baadaye tena wakaja na suala la Corona na chanjo watu wametishwa sana tena sana baadaye limekuja suala la kufukuza machinga nalo linafukuta.
Hili ni hatari narudia kusema hili ni hatari linaenda kuiangamiza CCM amini nawaambieni ukweli ni kuwa watu wamedevelop resistance they are insensitive yaani hizi colonial mindset za viongozi ni mbaya sana.
Unakuta yeye anahudumiwa kila kitu na Serikali anaanza tena kukimbizana na wafanyabiashara wadogo wadogo wanaotafuta 2000 ya kuwalisha watoto, hivi hali hii ni zaidi ya mfumo wa kinyonyaji.
Serikali iache kuhangaika na hawa watu wadogo wadogo ijiulize kuwa hawa mamilioni ya watu ambao haijawaajili wataenda wapi? yaaani kwa kweli very painful sana kwa Kheri CCM.
Walianza na hofu ya internet, kwa maana ya Bando watu walichachamaa sana wakabadili gia angani baadaye tena wakaja na suala la Corona na chanjo watu wametishwa sana tena sana baadaye limekuja suala la kufukuza machinga nalo linafukuta.
Hili ni hatari narudia kusema hili ni hatari linaenda kuiangamiza CCM amini nawaambieni ukweli ni kuwa watu wamedevelop resistance they are insensitive yaani hizi colonial mindset za viongozi ni mbaya sana.
Unakuta yeye anahudumiwa kila kitu na Serikali anaanza tena kukimbizana na wafanyabiashara wadogo wadogo wanaotafuta 2000 ya kuwalisha watoto, hivi hali hii ni zaidi ya mfumo wa kinyonyaji.
Serikali iache kuhangaika na hawa watu wadogo wadogo ijiulize kuwa hawa mamilioni ya watu ambao haijawaajili wataenda wapi? yaaani kwa kweli very painful sana kwa Kheri CCM.